Mtoa mada ni mnafik
Kasema uongo
1.Kuna wasafir wanaruhusiwa kula
2.wagonjwa
3.watoto
4.akina mama walio katika siku zao
Hao wote wanapika majumban mwao.
Sema ukifika muda wa Ramadan
Waislamu wanaojitambua hufunga biashara zao.Zbar ni sawa na vatican
wanasimamia dini yao
Sasa nani afungue...
Katika uislamu
Peponi hakuna kuabudu tena
Wala kwenda haja kubwa
na ndogo,ni malipo tu
Ya mema yako
Hakuna kuswali tena
Huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Shule za kiislamu
Nying zmefanya vizur
Suala la Madrasa mbona
Linawauma sana?
Sisi tumeambiwa ktk Quraan
Kwamba haijawa dunia isipokuwa ni starehe ya muda
Mfupi au yenye kupumbaza
Hakika akhera kwenu ni bora.
Kwahyo hicho tunachopata
Tunashukuru ila akhera ni yetu
Milele
Sent using Jamii Forums...
Acha uongo
Eti Iran Sunni
Saud Arabia mashia
Usiandike usichokijua
Pia madhehebu tofaut
Ila ibada inafanana
Sijui kama walokole na wasabato
Wanaweza kusali kanisa moja
Muda mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwanini
Watu ambao si waislamu
Wanachukia sana mafundisho
Ya uislamu ambayo si dini yao?
Waislamu wenyewe wamekubali
Kufuata sheria hizo,kwanini
uumie wewe?Heshimu sheria
na dini ya mwenzako,wengine
Ukiingia mwezi mtukufu tu
wanaumia utadhani wao ndyo
Wafungaj,wengine huwachukia
Wanawake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.