Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Sh222bilioni zimelipwa na Serikali kwa wakulima wa zao la korosho.

Nashangaa mpk alhamis ya juzi hakuna aliyelipwa ,hapa kuna mtu Namtafuta wa tunduru anambie kama washalipa hapatikani.

Mwingine wa kilwa nae anambie

Mwingine wa nachingwea nisje kujichelewesha buree

Naskia wanalipwa sijui wanalipwa makada peke yao
Inaonyesha pesa zimeshalipwa nyingi kwa wakulima kama serikali inavyosema pia bei ya 3,300/= kwa kilo si haba ni nzuri, lakini mbona zile mbwembwe za wakulima Mara hii hazipo? Au wanaiogopa serikari kuzitumia kwa mbwembwe isije wakanyang'anywa pesa zao? Au huku kulipwa kunakosemwa ni changa la macho tu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka juzi Mwezi November tulikwenda Nachingwea nikashangaa kuona idadi kubwa Ya maembe
Nikaambiwa Bakhresa hulipia mti mmoja Tsh 10,000/= nikashangaa kwa mantiki hii serikali ilipaswa iingilie Kati inunue embe hizi kwa wananchi halafu imuuzie bakhresa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Za kuambiwa changanya na zako
Inaonyesha pesa zimeshalipwa nyingi kwa wakulima kama serikali inavyosema pia bei ya 3,300/= kwa kilo si haba ni nzuri, lakini mbona zile mbwembwe za wakulima Mara hii hazipo? Au wanaiogopa serikari kuzitumia kwa mbwembwe isije wakanyang'anywa pesa zao? Au huku kulipwa kunakosemwa ni changa la macho tu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwaka mpya umeanza leo.
wakulima wa korosho bado wapo hoi. wanapigwa danadana siasa zimetawala. aliyewafukuza wanunuazi binafsi hana pesa. wanunuzi binafsi wamegoma.shule zinafunguliwa hawana mahitaji, waliokopa bank wanadaiwa hawana cha kulipa.
Raisi anaharibu uchumi kwa kuleta kiburi na ujuaji usio na tija kwa taifa
 
Hizo korosho tutazinunua Kwa Sikh mbili tu.Siku hizi sipendi hats kumuangalia kwenye luninga Kwa kua in muongo sana.ile Kiki nilidhani pesa IPO kumbe kujidai tu sasa kaumbuka
mwaka mpya umeanza leo.
wakulima wa korosho bado wapo hoi. wanapigwa danadana siasa zimetawala. aliyewafukuza wanunuazi binafsi hana pesa. wanunuzi binafsi wamegoma.shule zinafunguliwa hawana mahitaji, waliokopa bank wanadaiwa hawana cha kulipa.
Raisi anaharibu uchumi kwa kuleta kiburi na ujuaji usio na tija kwa taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasubiria korosho kilo mbili, nilizotangaziwa na mnene mwenyewe..

Nitabangua mwenyewe
 
Back
Top Bottom