haya ni matukio ya kawaida tu..tena mie mwanangu alianza kuota jino moja juu na baada ya muda kidogo likatokeza jingine moja chini..kiukweli nkapata wasiwasi lakin badae yaliota yote vizur tu..kwahiyo usiogope mkuu..!
wema alikua na umbile zuri sana alilojaaliwa na muumba lkn ameenda kuukosoa uumbaji ule binadam huwa haturidhiki na vile tulivyojaaliwa...tujifunze kurudhika kwan kila kichoumbwa kina makusudi yake ya kwanini kaumbwa hivyo....!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.