chenjichenji
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 1,773
- 3,529
Habari wakuu.Hivi kuna tatizo lolote la kiafya kwa mtoto kuanza kutoa meno ya juu?.
Maana nina binti yangu wa miezi saba jana nimemcheki mafizi ya juu yamevimba na vijino vipo kwa mbali vinachoma choma wakati fizi za chini zimevimba tu na hazina dalili ya kutoa meno hivi karibuni.
Naombeni msaada kwa anayejua please.
Maana nina binti yangu wa miezi saba jana nimemcheki mafizi ya juu yamevimba na vijino vipo kwa mbali vinachoma choma wakati fizi za chini zimevimba tu na hazina dalili ya kutoa meno hivi karibuni.
Naombeni msaada kwa anayejua please.