Huyu rais ni mtu Bora kweli kweli, Ana mambo mengi sana kafanya ahsante Kwa kushare nasi Kwa uchache haya mafanikio yake
Sent from my Infinix X689F using JamiiForums mobile app
Mi nadhani sio nyepesi labda kama unafanya analysis za kawaida.Na inategemea na mtu pia wewe unauzoefu nayo lakini kuna watu ile wanaiyona tu hawajui wafanye nini.Tena wapo wengi tu
Mataifa mengi duniani yamekumbwa na msukumo wa nje na hata wa ndani wa kuleta mabadiriko katika uongozi wa uma. Na madai ya kuataka mabadiriko yanatoka katika vyanzo mbalimbali ikihusisha Wananchi , Asasi za kiraia , vyombo vya habari na vyama vya upinzani.M ara nyingi madai yao yamejikita...
Mkuu mimi nimekuwa nikiitumia hii lakin kwa yule anaenza . Nilikuwa sifaham kama ukipewa project kuna pesa ambayo unaitoa then baadae wanasema wanairudisha.nkapatwa na wasiwasi kidogo imekaaje hii
Ni ajabu sana mtu unasema wazi wazi kuwa liverpool wanafungwa, na unajua kabisa sio kitu rahisi no one from any direction can stop us
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee mbona sikuhiz kila kitu kimekuwa simple sana.lakin nadhan hii iliiwe realistic lazima aandike yule anaekufaham vizur kabisa utendaji kaz wako kama ulishawah fanyakaz sehem nyingine hapo awali au mkufunzi wako.
Haiwezekani kabisa Ndugu zangu. Floyd anapenda maisha yake kitakachotokea ni kitu kibaya sana kama Floyd akijaribu kupigana na joshua
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.