Kuna tatizo kubwa Kwa Afisa Utumishi wa HALMASHAURI ya KARAGWE hasa katika suala la kuhudumia watumishi.
Inajulikana kuwa Serikali kupitia wizara ya Utumishi wa Umma imetoa nafasi Kwa watumishi Kwa ambao wanahitaji kuhama ili kufuata wenza wao, waombe uhamisho ila kwa Karagwe, Afisa Utumishi...
Habari! Kuna tatizo Gani linalochelewesha verification ya vyeti? Ni Karibu Mwezi mzima mmeshindwa kuhakiki vyeti vilivyotumwa kwenye mfumo. Changamoto ni nini?
Unachosema unaweza kuwa sahihi lakini swali langu kwako ni kwamba "Ile misaada ya silaha Kwa Ukraine, mbona Bado inapelekwa Ukraine ilhali wamepeleka misaada mingi sana?" Je unadhani Kwa nini wanajitahidi kupeleka madege ya kivita, vifaru n.k lakini Bado inaonekana Kwamba haijakidhi mahitaji?
Salaam! Sisi baadhi ya wakazi wa mtaa wa Kimanilwentemi kata ya Bugogwa WILAYA ya Ilemela Tuna tatizo ambalo tunahisi Kuna harufu ya rushwa. Iko hivi, Kuna shule ya serikali imejengwa hapa mtaani inaitwa shule ya SEKONDARI IGOGWE.
Eneo la shule hii ni dogo na ilionekana kuwa inapaswa eneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.