Bay of pigs
Senior Member
- Jan 5, 2014
- 158
- 196
Naam! Nadhani inajulikana kuwa Innocent Bashungwa ni Waziri wa TAMISEMI.
TAMISEMI iliweka utaratibu wa uhamisho wa watumishi wa umma, mfano walimu wanapotaka kuhama vituo vyao vya kazi, sharti wapate walimu wenzao wa kubadilishana nao.
Sasa ni hivi, inakuwaje mmeruhusu watumishi hasa walimu ambao ni Wanyambo wa Karagwe anakotoka Waziri Bashungwa kurudi karagwe bila kufuata utaratibu wa kubadilishana?
Awamu ya kwanza ya walimu waliorudishwa karagwe ilipita na walimu wengi toka sehemu mbalimbali za Tanzania waliripoti katika shule mbalimbali za karagwe na jana 21/09/2022 awamu ya pili ilitangazwa tena kwa walimu wanaohitaji kurudi Karagwe.
Je, kwanini kunakuwa na double standards kwa suala hili la uhamisho?
TAMISEMI iliweka utaratibu wa uhamisho wa watumishi wa umma, mfano walimu wanapotaka kuhama vituo vyao vya kazi, sharti wapate walimu wenzao wa kubadilishana nao.
Sasa ni hivi, inakuwaje mmeruhusu watumishi hasa walimu ambao ni Wanyambo wa Karagwe anakotoka Waziri Bashungwa kurudi karagwe bila kufuata utaratibu wa kubadilishana?
Awamu ya kwanza ya walimu waliorudishwa karagwe ilipita na walimu wengi toka sehemu mbalimbali za Tanzania waliripoti katika shule mbalimbali za karagwe na jana 21/09/2022 awamu ya pili ilitangazwa tena kwa walimu wanaohitaji kurudi Karagwe.
Je, kwanini kunakuwa na double standards kwa suala hili la uhamisho?