sijasoma hiyo post yote! (ntaisoma baadae)
ila nyakati zilizo influence nyerere aseme hivo zimebadilika sana..
kwasasa hivi serikali tatu is inevitable..
MANENO MAKINI, KUTOKA KWA MTU MAKINI.!
pole sana lwaks..
nimedondosha machozi, seriously.!
kwakweli hatuna choise zaidi ya kuondoa mfumo na chama hiki dhalimu madarakani...
tusikubali kuona taifa letu lina megeka vipande vipande kutukana na udhaifu na tamaa ya watu wachache..
HAKUNA KULALA MPAKA...
nina kila sababu ya kuamini kuwa hii haikuwa the right move kwa mzee wetu Kinana..
nina amini kabisa mchungaji Msigwa hakukurupuka kutoa shutuma nzito vile tena ndani ya bunge!
kwa wale ambao mna access tafuta zile hansard za bunge za siku ile
ilikuwa hivi...
baada ya Msigwa kutoa shutuma zile...
Hili la kanda limewatisha na lita zidi kuwayeyusha kama bonge la barafu kwenye jua
moto wa hizi kanda umeshaanza kuwaunguza na sasa wameanza kuweweseka!!
nchemba ana siasa za kwashakoo
maono hafifu
mikakati duni
mbinu za karne ya 19
na fikra duni!
napata wasiwasi sana na upeo wa mwenyekiti wake aliyemkingia kifua mpaka akapewa nafasi hii ya unaibu katibu mkuu.!???
watoto wa town tulikwenda kumcheki diamond tu pale, atleast he knew what he was doing there.!
hao wengine walibaki wanabwabwaja tu cdm, cdm, cdm, cdm, cdm.! mpaka tukajiuliza hivi lengo la mkutano ni nini hasa.!
(well i was the one asking myself that coz baada ya diamond kushuka kwa steji na...
aibu ilianzia jana, kwani kutokana na hofu ya watu kutojitokeza katika mkutano huo, gari la matangazo lilizunguka mji mzima lilikuwa likirudia kuwa ''msanii diamond atakuwepo kutoa burudani'' naamini hii ilikuwa ili kuwavutia ''watoto'' wajae.!
leo toka asubuhi mbunge wa morogoro mijini aziz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.