Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 9,397
- 8,852
Shimbo ni mtu mhimu sana kwa JK, lazima amlipe fadhira, kumbuka kisa cha JK kuondoka Monduli.
JK hana aibu hata kidogo. Sijui yuko je. Hivi alishampa MJ.Gen Lupogo cheo toka amtoe TACAIDS?
Hivi rasimu ya katiba mpya inasemaje kuhusu uteuzi wa mabalozi?taarifa ya habari tbc1 ya saa mbili usiku huu wamesema rasmi kuwa jk kamteua shimbo kuwa balozi china.
taarifa ya habari tbc1 ya saa mbili usiku huu wamesema rasmi kuwa jk kamteua shimbo kuwa balozi china.
shimbo ni mchapakazi ataiwakilisha nchi vema.
Shimbo ni mtu mhimu sana kwa JK, lazima amlipe fadhira, kumbuka kisa cha JK kuondoka Monduli.
...Rais Kikwete amemteua mstaafu A. Shimbo kuwa balozi wa Tanzania nchini China.
Source: TBC1 Habari
Hivi hii teuzi ina merit kweli?....hivi hata tukiongelea diplomatic experience. Is it worthy to have Shimbo in China?....
Hv hapo Ikulu imejaa bogus tu,si ndio? Yani advisorz wote wameruhusu hili? Dah
Ninahisi Serikali ya CCM haimini tena Vijana, wale vijana wanaoaminiwa na Serikali ya CCM ni kama disaini ya Nape tu. Yaani JK amekosa kabisa mtu wa kuaminika kuiwakilisha Tanzania China!