MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,268
Haya ni mawazo yako, CCM inasonga mbele. Kama kwenu wanawake wenye mikorogo hawatakiwi kuwa wanachama, wapenzi au mashabiki wa chama. kwa CCM wanakaribishwa kwa sababu tunaamini BINADAMU WOTE NI SAWA, na HATUBAGUI MTU YOYOTE KUTOKA PANDE YOYOTE ILE YA TANZANIA.
Ujumbe wako naona umefika. kwa CHADEMA, hawatakiwi watu wenye mkorogo.
Ujumbe wako naona umefika. kwa CHADEMA, hawatakiwi watu wenye mkorogo.
Kwa hiyo hao wanawake wapaka mkorogo ndio watu zaidi yai wengine Kinana analokubwa sana la kujifunza kwenye mkutano wa leo Morogoro ni mkutano umeleta wajumbe na mabasi ya Abood toka sehemu mbalimbali za mkoa wa morogoro hilo tu la kufanya maandalizi ya kusomba watu ni funzo tosha Tanzania ina vijana kwa aslimia 71 ndio uwaonao, wewe mwenyewe ni kijana unapambana hapa mlete kigunge tuone usidharau mwiba hapo vipi?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()