Recent content by Gwayema

  1. G

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kuna Jamaa hapo anasema Kante anacheza popote
  2. G

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wadau tusiwe wabishi. Kante hachezi kabisa mbele ya defenders. Bado anatumika kama alivyokuwa anatumika kipindi cha Sarri. Naomba Leo mu-analyse vzur uone
  3. G

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Chelsea either wampe wachezaji anaowakataka ili acheze aina ya mpira anaoutaka au Chelsea itafute kocha mwingine. Hawa tulionao hawataweza kuimprement falsafa ya Sari( pressing at high speed). We need young players that can adapt to Sarri's way of playing. Tatizo wachezaji wetu wanataka...
  4. G

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Conte alikuwa bonge la kocha. Kuna mazwazwa humu walimponda sana. Ila Conte huyo huyo alikupa kombe Epl na FA mwaka wa pili. Na pia hakuwahi kutudhalilisha kama hivi Sent using Jamii Forums mobile app
  5. G

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Shida ya waitaliano ni viburi sana. Atang'ang'ania ili afukuzwe Sent using Jamii Forums mobile app
  6. G

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hapa hakuna timu kabisa, na sijui kama msimi ujao Sarri kibarua kitabaki salama? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. G

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hii habari ipo skysports na pia bbc. Hivyo vyombo vya habari vina network kubwa kuliko wewe. Angalia tu list ya pundits, players, veterans wa epl, coaches, na experience iliyotukuka utajua nani wa kuaminiwa kati ya wewe. Alafu unapaswa kuelewa kuwa transfer news are very confidential. Hivi leo...
  8. G

    Hii Video ukiiona unajihisi vipi?

    Kabisa huu ulikuwa ni ukiukwaji wa sheria uliopindukia
  9. G

    Hii Video ukiiona unajihisi vipi?

  10. G

    Kwanini replacements zote ni UDSM?

    Asilimia kubwa wamemalizia pale kwa sababu ni chuo kilichoanzishwa muda mrefu uliopita. Au unataka kulinganisha UDSM na chuo kama UDOM cha 2000's?
  11. G

    Mwaka huu nataka kuwa natumia si zaidi(almost) ya saa moja kwa siku kwenye mitandao ya kijamii

    Mwaka huu nimekuwa nikitumia masaa 3 mpaka manne katika mitandao ya kijamii hasa JamiiForums, facebook na Linked in. Sina account zaidi ya hizo katika mitandao ya kijamii lakini nimekuwa nikitumia muda mwingi katika JF, fb na Linked in. Nataka mwaka huu niongeze muda wa kusoma vitabu zaidi na...
  12. G

    Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

    Kwa mwendo chuo cha UDSM ndo maana kinakufa na kupotea kitaaluma. Muda si mrefu kitakuja kuporomoka si kawaida maana PHD holders na wahadhiri ndo hao wanaondolewa,.. Hivi watapata muda wa kufundisha lini? Watapata wapi muda wa kufanya tafiti?
  13. G

    Rais Magufuli: Namshukuru Waziri wa Nishati na Madini kwa kutengua upandishaji wa bei ya umeme

    Hii inaitwa KUSOMA NAMBA PART 2. Naona sterling anaonyesha mambo yake
Back
Top Bottom