Eng Nyahucho
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 688
- 1,155
Tuchukue mfano mdogo tu, Makamba akiwa mkuu wa mkoa wa Dar alikuwa vizuri sana kwenye ile nafasi ila baada ya kutolewa pale na kupelekwa kuwa katibu mkuu CCM alipwaya sana kitendo kilichomharibia sifa na kuamua kustaafu
Kwa hiyo uongozi au kusimamia idara siyo lazima uwe na GPA 5 au 4.5 au uwe DRs, ama PROF
Kwa hiyo uongozi au kusimamia idara siyo lazima uwe na GPA 5 au 4.5 au uwe DRs, ama PROF