Recent content by Gwaje

  1. Gwaje

    JamiiForums Tanzania Natafuta wadau tushirikiane katika kilimo na ufugaji

    Ndg tunaweza kulima mazao 2 papai au tangawizi ndio mazao yasiyo na pressure lakini soko ni kubwa. Usiogope tunaweza weka makubaliano sawa tukafanyakazi pamoja
  2. Gwaje

    JamiiForums Tanzania Natafuta wadau tushirikiane katika kilimo na ufugaji

    Kuna uwezekano wa kugawana kwa usawa maana biashara ya jumla itakuwa mifugo au mazao tu. Lengo nataka kupata operation fund baada ya kufanya na wadau kwa muda flani
  3. Gwaje

    JamiiForums Tanzania Kukata rufaa kazini: Naomba kujuzwa namna ya kukata rufaa ya kufukuzwa kazi serikalini

    Maamuzi au mapendekezo ya tume iliyokuwa na watu 2 sikuwahi kuyaona. Je nilipaswa kujua mapendekezo yake?
  4. Gwaje

    JamiiForums Tanzania Kukata rufaa kazini: Naomba kujuzwa namna ya kukata rufaa ya kufukuzwa kazi serikalini

    Nilifunguliwa mashitaka ya kinidhamu mwaka mmoja baada ya kosa yaani makosa October 2010, tuhuma November 2011 Nikajibu tuhuma ndani ya muda. Tume iliundwa miaka 5 baadae ndio nikafukuzwa kazi. Yaani April 2016 nikaomba kurudishwa kazini ndio tume ikaundwa julai 2016 nikafukuzwa. Naishi...
  5. Gwaje

    JamiiForums Tanzania Natafuta wadau tushirikiane katika kilimo na ufugaji

    Habari wadau, Ninashamba la ukubwa wa ekari 10 lenye rutuba nzuri na yakutosha linalofaa kwa mazao kama nyanya, vitunguu, mahindi, matikiti, mapapai, machungwa na migomba. Shamba lipo kilosa morogoro. Shamba liko 5km kutoka barabara ya kilosa dumila ambayo inalami na shambani panafikika mwaka...
  6. Gwaje

    JamiiForums Tanzania Kukata rufaa kazini: Naomba kujuzwa namna ya kukata rufaa ya kufukuzwa kazi serikalini

    Ninahitaji mtaalam wa masuala haya.
  7. Gwaje

    JamiiForums Tanzania Kukata rufaa kazini: Naomba kujuzwa namna ya kukata rufaa ya kufukuzwa kazi serikalini

    Nilikuwa mtumishi katika wizara. Nilifukuzwa kazi miaka 3 sasa naomba msaada wa namna ya kukata rufaa nirudi kazini.
  8. Gwaje

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hii haiingii akilini aisee,Ina maana nchini kwenu mtu anaweza akaingia akajifanya Ni ombaomba kumbe Ni shushushu flani tu, katumwa na nchi yake Kisha akimaliza anasepa zake kiurahirahisi tu[emoji849]ajabu hiii!!
  9. Gwaje

    JamiiForums Tanzania NSSF Ubungo acheni longolongo! Lipeni wateja wenu mafao yao!

    Ndg uliishalipwa fao lako au bado unahangaikia
  10. Gwaje

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Gari yangu aina ya Nissan pickup ina jam sana breki za mbele naomba msaada. Nimepiga msasa piston lakini bado zinajam Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Gwaje

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mawasiliano au ofisi za Westpoint Dar es Salaam

    Naomba msaada wa mawasiliano
  12. Gwaje

    JamiiForums Tanzania uliza swali lolote kuhusu Electronics design na electronics kwa ujumla nikujibu!

    Sema sijui sio haiwezekani
Back
Top Bottom