Perhaps he was still exhausting remedies under the law government public servants. If so, he can challenge it.Miaka mitatu yote leo ndo unapata akili ya kukata rufaa? Pole sana mkuu. Ila jaribu
Kuna mtu alikuwa anaitwa olver mhaiki, akikuta faili la mtumishi halisomi,anafanya yake. Pole mkuuMiaka mitatu yote leo ndo unapata akili ya kukata rufaa? Pole sana mkuu. Ila jaribu
Sawa ila sidhani.Perhaps he was still exhausting remedies under the law government public servants. If so, he can challenge it.
He is the one who knows the truth.Sawa ila sidhani.
Kila wilaya/mkoa kuna ofisi za wasuluhishi wa wafanyakazi na waajiri, anzia hapo kwanza watakupa utaratibu.Nisaidie kujua taratibu
Mwenye kuogofya hayupo tena.Miaka mitatu yote leo ndo unapata akili ya kukata rufaa? Pole sana mkuu. Ila jaribu
Obvious kuna kosa ulilolifanyaNilikuwa mtumishi katika wizara. Nilifukuzwa kazi miaka 3 sasa naomba msaada wa namna ya kukata rufaa nirudi kazini.
It is CMA siyo CIMA mkuu. Kuna vitu nimemuuliza hapo juu naona yupo kimya mhusika. I could help him/her. But it seems he/she is not serious with the matter he/she tabled.Obvious kuna kosa ulilolifanya
1.Je ulifunguliwa mashtaka ya kinidhamu?
2.uliundiwa tume kwa ajili ya mashtaka uliyotuhumi2a nayo ndani ya siku 90 tangu kupewa charge?
3. Tume ilitoa moja ya mapendekezo kuwa mwajiri akufute kazi?
Kuna tume ya ushuruhishi kwenye mahakama ya kazi kama sikosei ni CIMA hapo ndipo unaeza anzia kwa kukata rufaa. CIMA zipo kikanda. Tafuta wakili akuongoze.
Nilifunguliwa mashitaka ya kinidhamu mwaka mmoja baada ya kosa yaani makosa October 2010, tuhuma November 2011Obvious kuna kosa ulilolifanya
1.Je ulifunguliwa mashtaka ya kinidhamu?
2. Ulijibu tuhuma ulizohusishwa nazo?
3.Uliundiwa tume kwa ajili ya mashtaka uliyotuhumiwa nayo ndani ya siku 90 tangu kupewa tuhuma kimaandishi?
4. Tume ilitoa moja ya mapendekezo kuwa mwajiri akufute kazi?
Kuna tume ya ushuruhishi kwenye mahakama ya kazi kama sikosei ni CIMA hapo ndipo unaeza anzia kwa kukata rufaa. CIMA zipo kikanda. Wapo watu wanarudishwaga kazini vzr kbs namfahamu afisa elimu mmoja kwa sasa yupo kanda ya magharibi huko Kigoma aliponyoka kiivyo!!
Maamuzi au mapendekezo ya tume iliyokuwa na watu 2 sikuwahi kuyaona. Je nilipaswa kujua mapendekezo yake?Obvious kuna kosa ulilolifanya
1.Je ulifunguliwa mashtaka ya kinidhamu?
2. Ulijibu tuhuma ulizohusishwa nazo?
3.Uliundiwa tume kwa ajili ya mashtaka uliyotuhumiwa nayo ndani ya siku 90 tangu kupewa tuhuma kimaandishi?
4. Tume ilitoa moja ya mapendekezo kuwa mwajiri akufute kazi?
Kuna tume ya ushuruhishi kwenye mahakama ya kazi kama sikosei ni CIMA hapo ndipo unaeza anzia kwa kukata rufaa. CIMA zipo kikanda. Wapo watu wanarudishwaga kazini vzr kbs namfahamu afisa elimu mmoja kwa sasa yupo kanda ya magharibi huko Kigoma aliponyoka kiivyo!!