Hao jamaa ni comedians. Hiyo ni sanaa tu. Wanajaribu ku-portray maisha ya kijana wa kiarusha sema wanakolezea vionjo flani (mfano mavazi, misimu na rejesta) ili kuburudisha jamii.
Well as per my understanding, all these network marketing businesses originate from abroad because the products themselves come from abroad. We are not in the 1800s we are in the 21st Century. Mkuu si unafaham concept ya Globalization na international trade? Hata we unaweza kuongeza sales za ur...
Hapana si lazma uache shuhuli zako halali za kukuingizia kipato kwani unaeza fanya vyote. Lakini fahamu pia kwamba “No research no right to speak”. Kama huoni maana kutafiti jambo basi usilizungumzie kaa kimya na ignorance(ujinga) wako usituambukize wenye nia na uthubutu wa kuelewa.
Nashauri tufanye utafiti kwanza wa namna ambayo network marketing inafanya kazi! Network marketing believe it or not is an industry kama ilivyo industry ya mziki, kilimo, uzishaji nakadhalika. It is a legitimate business sema haifanani na biashara tulizozoea na utashi wa biashara tulizozoea...
Agreed !!! kuna umuhimu wa watu kufanya utafiti yakinifu kabla ya kuingia kwenye hizi biashara. Vile vile kuna umuhimu wa kutofautisha kati ya pyramid schemes na biashara za kimtandao. These are not get rich quick schemes zinahitaji uumize kichwa na uchukue risks kubwa. Mara nyingine utakosa ila...
Mkuu inategemea na aina (Genre) ya movie unayopenda. Kama ilivyo muziko movie nazo kila mtu ana taste yake. Binafsi napenda sana movies za comic book heroes japokua ni za mambo ya kusadikika (fiction) kuna zenye storyline nzuri kama vile:
Batman Begins,
Batman The Dark Knight
Captain America...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.