Maisha yake yote toka kuzaliwa mpaka Leo hajawahi kukutana na kitu kinaitwa shida, leo hii utegemee atajua shida za watu wa Hali ya chini na mahitaji yao? Yeye anacjojua ni kumfurahisha boss wake na harakakati zake alizozianzisha 2015. Lile jitu la kazi kalemani lenyewe halikutokea masaki na...
Bodi ya UGAVI na MANUNUZI Tanzania Kuna Nini mbona mambo yamesimama tatizo lipo kwa Nani hasa watu wametuma maombi ya kusajiliwa tangu mwezi wa Tisa 2020 Lkn hamna usajiri unaofanyika, mitihani Ina ahirishwa tu, matokeo hayatoki kwa ufupi shughuri zimesimama, Nani mhusika arekebishe bodi iwe...
Ninaamini ni kweli mwanaume kamili hawezi kufunguka kama hivyo kama halijamgusa. Ila naona kuna shida kwa prince maana jamaa hamzungumziagi kabisa zaidi ni Tiffah tu basi
Kila mwanafunzi awajibike kulipa fidia ya uharibifu uliotokea kwa sababu ya ujinga wao.napendekeza Kila anayetaka kurejea shule hiyo Basi afike na bank slip ya Tsh100000/=
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.