Aliyepita chuo Na aliyepita advance

Aliyepita chuo Na aliyepita advance

dranx

Senior Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
189
Reaction score
84
Habari za muda wadau.
Naomba kujua kati ya aliyepita chuo(kuanzia certificate) Na aliyepita advance Nani anaurahisi kwenye kuajiriwa. ??
Msaada tafadhali.
 
Ajira ni bahati ya mtu siku izi, yaaani namaanisha nani anakushika mkono, unaweza usipite kote uko na ukawa sekta nyeti
 
Kuajiriwa hakuangalii hayo Mambo ...waajiri wengi siku hizi wanatafta watu competitive na sio kapita chuo Wala advance
 
Mkuu It Seems Upo Njia Panda Kwenda Chuo Au Advance

Nikushauri Tu Pote Ni Pema

Ila Short Cut Hapo Ni Advance Two Years Then Degree

Certificate-ordinary Diploma-advanced Diploma Then Degree Three Years,

Kama Ni Arts Nakushauri Nenda Advance

Kama Ni Science Kozi Za Afya, Technolojia, Uinjinia Nenda Chuo,

Kama Mkwanja Upo, Wa Kusoma Bila Hata Mkopo Nenda Chuo,

I Stand To Be Corrected

Am Out!!
 
Habari za muda wadau.
Naomba kujua kati ya aliyepita chuo(kuanzia certificate) Na aliyepita advance Nani anaurahisi kwenye kuajiriwa. ??
Msaada tafadhali.
Nenda kasome chuo mkuu, kusoma form 5 & 6 , ni kujichosha bure,kumbuka aliyesoma certificate then diploma huyo Tayari yupo kwenye soko la Ajira, sasa ww ukimaliza form six Nani akuajiri , kumbuka ukifeli form 6 imekula kwako, katika vitu hopeless nilivyowahi kujifanya nadhani mi kusoma A level,
 
c
Mkuu It Seems Upo Njia Panda Kwenda Chuo Au Advance

Nikushauri Tu Pote Ni Pema

Ila Short Cut Hapo Ni Advance Two Years Then Degree

Certificate-ordinary Diploma-advanced Diploma Then Degree Three Years,

Kama Ni Arts Nakushauri Nenda Advance

Kama Ni Science Kozi Za Afya, Technolojia, Uinjinia Nenda Chuo,

Kama Mkwanja Upo, Wa Kusoma Bila Hata Mkopo Nenda Chuo,

I Stand To Be Corrected

Am Out!!
certificate_ordinary diploma then ni must upate GPA ya kuanzia 3.0( kwa vyuo vingi) afu unaunga dgree 3 yrs
adv.dip haipo
 
Kwa haraka haraka aliyepitia chuo nibrahisi kuajiriwa kuliko ambaye ameenda adv. Kwa sababu hizi kwanza in terms ya exprience wa chuo tayari anaexprience na soko la ajira na kazi pia so ukienda naye kuomba ajira na wote mna degree moja most likely ni rahisi kukuzidi hata kwa cv yake tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtoa mada we angalia urahisi wako ni upi,na ukienda adv inabidi ukaze ili utoke unyooke adi dgree mana ukiyumba diploma inakuhusu
kuanzia certificate piaa ni nzuri zaidi kwa upande wangu
pia angalia umri wako,bnafsi me nmemaliza 4 niko na 16yrs,tokeo linatoka nko na 17...nkataka kwenda chuo bhna ila home walinikazia mbaya eti umri mdogo kwenda kuishi mbali na home(niliwamind sema skua na jinsi
advance miyeyusho asee ukiweza anzia cert
 
mtoa mada we angalia urahisi wako ni upi,na ukienda adv inabidi ukaze ili utoke unyooke adi dgree mana ukiyumba diploma inakuhusu
kuanzia certificate piaa ni nzuri zaidi kwa upande wangu
pia angalia umri wako,bnafsi me nmemaliza 4 niko na 16yrs,tokeo linatoka nko na 17...nkataka kwenda chuo bhna ila home walinikazia mbaya eti umri mdogo kwenda kuishi mbali na home(niliwamind sema skua na jinsi
advance miyeyusho asee ukiweza anzia cert
Pole mkuu, vijana wengi siku hizi ni wajanja hawana ulimbukeni WA kutaka kusoma form 5 & 6, tatizo home hawataki kuwaruhusu kwenda certificate then diploma, sijui huo ulimbukeni Kwa kutaka watu wasome form 5 &6, utaawasha lini !!!, Mi kuna dogo WA jamaa yangu mmoja O level alipataga div one, sasa Yule dogo akamwambia dingi yake YY hataki kusoma A level, hila Yule jamaa alimgomea dogo
 
.
IMG-20190220-WA0002.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu It Seems Upo Njia Panda Kwenda Chuo Au Advance

Nikushauri Tu Pote Ni Pema

Ila Short Cut Hapo Ni Advance Two Years Then Degree

Certificate-ordinary Diploma-advanced Diploma Then Degree Three Years,

Kama Ni Arts Nakushauri Nenda Advance

Kama Ni Science Kozi Za Afya, Technolojia, Uinjinia Nenda Chuo,

Kama Mkwanja Upo, Wa Kusoma Bila Hata Mkopo Nenda Chuo,

I Stand To Be Corrected

Am Out!!
On ur side mr......saf sanaaa
 
Karibu Fulgent Careers, washauri wa masuala ya elimu ndani na nje ya nchi. Utajibiwa maswali yako yote na huduma za ziada kwa gharama ya Tsh 5000 tu. 0769 524 022.
 
Kwa haraka haraka aliyepitia chuo nibrahisi kuajiriwa kuliko ambaye ameenda adv. Kwa sababu hizi kwanza in terms ya exprience wa chuo tayari anaexprience na soko la ajira na kazi pia so ukienda naye kuomba ajira na wote mna degree moja most likely ni rahisi kukuzidi hata kwa cv yake tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh apo so kwl kwny cv atakuzdje wakt yy ana chet had cha form six
 
Back
Top Bottom