Recent content by gunasoljer

  1. G

    Bongo movie bhana wanachekesha kweli!

    mlinzi wa getini lazima awe kama chizi
  2. G

    Hivi ISIDINGO ina mahusiano gani na ITV?

    Isidingo ilianza kuonyeshwa na ITV baada ya kuona tamthilia ya egoli haina maadili mazuri.
  3. G

    Mtaje Mwalimu aliyekusaidia na Hutomsahau

    mwalimu Ndutu korogwe primary school (marehemu)
  4. G

    Isidingo

    Nakumbuka ilianza kuonyeshwa 1998 baada ya tamthilia ya egoli kukatazwa.
  5. G

    Wakati unaingia mjini kitu gani ulifanya na hutosahau?

    Kuna Siku nilipanda chai maharage( daladala, mwaka 1995) kwenda kariakoo wakati wakurudi nilikaa kituoni kuisubilia gari hiyo hiyo mpaka ilipotokea tena.nilijua daladala inayotoka eneo hilo ni hiyo moja tu.kipindi hicho zilikuwa hazijaandikwa zinapokwenda.
  6. G

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Mbolo muuza duka Ikwiriri lufiji.
  7. G

    Ankara(Bill) ya Majitaka ni wizi uliohalalishwa na nani?

    Kwa kawaida maji taka ni asilimia sabini na tano ya maji safi. Hivyo bili ya maji taka kukatwa sawsawa na bili ya maji safi hiyo si sawa.
  8. G

    Dkt. Mwaka aonyesha vyeti na vibali vyake

    Tumezoea kucopy na kupest
  9. G

    Post SMS za vichekesho na utani hapa

    Hata mchezaji mpira anaweza akatoa pasi, lakini huwezi chukua ukaenda kunyoshea nguo.
  10. G

    Kauli CHAFU za walimu darasani

    Kesho kila mmoja aje na kuni mbili na maji ya kumwagilia Bustani na mkumbuke kuwahi namba.
  11. G

    Kauli CHAFU za walimu darasani

    umenifurahisha sana mkuu!
  12. G

    Pongezi: Hongereni sana Tanesco kwa kutokukata umeme leo hii

    Huku kwetu mbagala charambe wameshakata sasa hivi.
Back
Top Bottom