Kuna Siku nilipanda chai maharage( daladala, mwaka 1995) kwenda kariakoo wakati wakurudi nilikaa kituoni kuisubilia gari hiyo hiyo mpaka ilipotokea tena.nilijua daladala inayotoka eneo hilo ni hiyo moja tu.kipindi hicho zilikuwa hazijaandikwa zinapokwenda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.