Recent content by gudJohnson

  1. gudJohnson

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tusichukulie poa hawa Gen Z wa Bongo wanaweza kufanya jambo

    Aah wapi...kwa vijana gani labda???
  2. gudJohnson

    JamiiForums Tanzania Hiring

  3. gudJohnson

    JamiiForums Tanzania Hakukuwa na sababu ya Profesa Mkenda kuzungumza aliyoyazungumza hadharani. Kiongozi ni kuwa na Kifua na Uvumilivu

    Africa ukisema Uongo ndo una hekima, ukisema ukweli huna kifua....shubaamit
  4. gudJohnson

    JamiiForums Tanzania Vijana wa miaka 20 Kenya wanajadili mustakabali wa nchi yao kwa weledi mkubwa sana. Vijana wa Tanzania wanakwama wapi?

    Vijana gani mkuu? Hawa wanaoshinda kutwa nzima wanajadili simba na yanga?? Hawa wanaoshadadia uchawa na kulamba miguu ya wakubwa na wenye pesa?? Hawa wanaoshinda wanabet siku nzima?? Hawa wanaoshinda mtandaoni kufatilia mada za udaku, ngono na mambo mengine ya kipumbavu???.....vijana wetu...
  5. gudJohnson

    JamiiForums Tanzania Tuongee ukweli: Soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) haliwezi kukufanya ukawa tajiri kwa mtaji wako mdogo

    Ndio maana masikini ataendelea kuwa masikini na tajiri ataendelea kuwa tajiri. Nani alikuambia ukiweka hela UTT unakua tajiri next day???? Hizo money market, shares and the like ni long term investment...pia elewa kwamba kila mtu ana malengo yake. Chagua kufanya kile kinachotimiza malengo yako...
  6. gudJohnson

    JamiiForums Tanzania Mabasi ya Kilimanjaro yafungiwa kutoa huduma

    Ni Kilimanjaro gani imefungiwa?? Leo nimetoka dar kwenda arusha nimepishana na Kilimanjaro kama zote zinapiga kazi kama kawa
  7. gudJohnson

    JamiiForums Tanzania Nani yupo nyuma ya kampeni ya kumchafua Chongolo?

    "Ushirika wa wachawi haudumu" alisikika mlevi mmoja
  8. gudJohnson

    JamiiForums Tanzania Wito kwa madereva wa IST jiji Dar es salaam

    Sina haja ya kufanya ligi bila sababu mkuu, ila tu nimetoa tahadhari kwa tabia mbaya iliyokithiri.
  9. gudJohnson

    JamiiForums Tanzania Wito kwa madereva wa IST jiji Dar es salaam

    Nashukuru kwamba imepenya.....barikiwa sana mkuu, mjirekebishe!!!
  10. gudJohnson

    JamiiForums Tanzania Wito kwa madereva wa IST jiji Dar es salaam

    Nilishatoka mkuu
  11. gudJohnson

    JamiiForums Tanzania Wito kwa madereva wa IST jiji Dar es salaam

    Kabisa mkuu halaf ikitokea amekukwangua anakua mdogo kama piriton maana hana hela ya kukulipa.....tuungane kuwakemea
  12. gudJohnson

    JamiiForums Tanzania Wito kwa madereva wa IST jiji Dar es salaam

    Habari za leo ndugu madereva mnaoendesha gari aina ya Toyota IST hapa jijini Dar na kwingineko kote Tanzania. Awali ya yote niwapongeze kwa hatua ya kumiliki usafiri ambao unawawezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa wakati. Hiyo ni hatua muhimu ya maisha ambayo kila mmoja angetamani...
  13. gudJohnson

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya mabasi ya Shabiby ni wahuni

    Mkuu hujawatendea haki hiyo kampuni, uwaombe radhi kabisa maana Shabiby hawa ruti ya Dar to Arusha.....pole sana
  14. gudJohnson

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Acha kufr!ana uepuke UTI sugu

    uende ukapigwe bomba pia mkuu....wakusafishe kabisa. Pole sana!!!
  15. gudJohnson

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wa kumuelewa huyu binti

    kama umemzidi 15yrs na yeye ana 20...ina maana una 35 yrs. Hivi mkuu, kweli huo umri ni wa kuchanganywa na mapenzi kiasi hicho mpaka unaomba ushauri??? Jitafakari bwana kuna mambo mengi ya maana ya kuomba ushauri, hilo liko ndani ya uwezo wako kuliweka sawa.
Back
Top Bottom