Wee ..Nenda ukafike.......uanze kubetii
...ukutane na mechi ngumu kama
Za UEFA mwaka huu
Mbna hutatoboa na Boom hata mwezii mmoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahha.....Haya ndo maswalii
Ya first year..
We nenda ukafike chuonii ukapate hiloo Boom....
Then utaona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenyw
Inasaidie......kumpa taarifa ...msomaji wa barua yakoo....ajue kama umewahi tuma barua hapo mwanzoo....
Kwa ufupi....
....kumbu kumbu namba inamsaidia msomaji wakoo kurejerea barua yako ya awalii.....
Katika suala la course za Afya.........kukwepa DAMU........haiwezekanii......kwa sababu hata ukiwa boharia wa dawa (pharmac)
....kuna dharura...tuu utahitajikaa...kusaidia......
Labda.....
Ujaribu course za engineering au biashara kiongoziii
HAHAHAHA....kama night pack ya 10GB...ya airtel inatumika ....ndanii ya masaa mawilii na nusuu....
...sijuii hakoo ka GB 1....
........[emoji23][emoji23][emoji23]
HAHAHAHA......umaskiniii wakoo unakusumbua........wewe...........
...Wenye hela waxhanunua na wanaona mambo mapya...kama storage yake ya 1Tb xo mchezoo...n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.