Recent content by Greyson55

  1. Greyson55

    Magufuli 'amrushia madongo' aliyesema atashtakiwa sakata la mchanga

    Wee tupatu abilia wote hatufanani akili wakikuzingua wadondoshe.
  2. Greyson55

    Ofisini hakukaliki: Secretary ameliamsha Dude

    Je unashamba tupunguze kulimia zip pls
  3. Greyson55

    Je ni kweli Hon Joseph Rugumyamheto asili yake Rwanda

    Ata kwenye familia utakuta mtoto wa nje anafanya vizuri kuliko wandani ya ndoa
  4. Greyson55

    Jihadhari na matapeli hawa wa Kupatana.com

    Ulicheza vyema wife anapenda sana kupatana ila siwaamini
  5. Greyson55

    Mwanamke wangu hataki nione nyeti zake

    Je wewe ni dini gani ujui ukimuona hiyo nyeti utakuwa umetenda dhambi
  6. Greyson55

    Lema, Nasari na Sugu: Tutamng'oa Prof. Muhongo bungeni kinguvu

    Walikuwa wapi mwanzo wanatafta kick
  7. Greyson55

    Naziona dalili za kubadili katiba Rais aongezewe idadi ya wabunge wa kuteuliwa

    Ccm endelee ila kusiwe na kuleana na wapinzani wazidi kuichangamsha serekali ila sijaona mpinzani wakuchukua inchi hii wataanza kujimufaisha kwanza wao na chama
  8. Greyson55

    Mapenzi Mubashara.....!!!

    Mbona anaoga na boxer sasambua
  9. Greyson55

    Dada Tulia uolewe sasa miaka hairud nyuma. Wachawi wako ni hawa ndugu zako

    Maisha ya sasa sikama zamani that hishima ndoa kwa sasa heshima pesa ndugu oa au alewa utataka kukimbia game omba mungu mda ukifika akupe mke au mume
  10. Greyson55

    Fedheha iliyonikuta ukweni nafikiria kutokanyaga tena

    Pole kaka wengi kuangalia unanini nakumbuka nilikaribishwa kwa mchumba angu mala ya kwanza Sweden aliumwa dada ake mchumba angu nilivyoenda odini kumdalimia ndugu nilitolewa balu utadhani mimi ndo mtoa roho pole sana kaka.
  11. Greyson55

    Wambeya wameonesha njia kumbe inawezekana

    Jamani ndoa sio usafiri ni baraka za wazazi.kufunga kanisani then home zingine mbwembwe .yakwangu ilikuwa send off. Kanisani honeymoon nilitumia 2.5million no pombe soda.maji juice.msosi
  12. Greyson55

    Mke wa Trump kichwa wazi Saudi Arabia

    Siyo kila shariti la nyumbani kwako wageni wafuate huwezi kumlazimisha mgeni kutumia kopo kujisafisha wakati wamezoea toilet paper.
Back
Top Bottom