Ccm endelee ila kusiwe na kuleana na wapinzani wazidi kuichangamsha serekali ila sijaona mpinzani wakuchukua inchi hii wataanza kujimufaisha kwanza wao na chama
Pole kaka wengi kuangalia unanini nakumbuka nilikaribishwa kwa mchumba angu mala ya kwanza Sweden aliumwa dada ake mchumba angu nilivyoenda odini kumdalimia ndugu nilitolewa balu utadhani mimi ndo mtoa roho pole sana kaka.
Jamani ndoa sio usafiri ni baraka za wazazi.kufunga kanisani then home zingine mbwembwe .yakwangu ilikuwa send off. Kanisani honeymoon nilitumia 2.5million no pombe soda.maji juice.msosi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.