Ofisini hakukaliki: Secretary ameliamsha Dude

Ofisini hakukaliki: Secretary ameliamsha Dude

wadada muwe na huruma na sisi kaka zenu huku maofisini. huyu secretary ni mke wa mtu leo kanifanyia makusudi ameliamsha dude mpaka muda huu linahema tu. kavaa nguo fupi halafu kaja ofisini kwangu kanigusisha makalio yake usoni akijifanya anainama..makusudi na hii si mara ya kwanza.

kazi haziendi akili yangu haipo hapa..yeye anacheka tu na kunifanyia kusudi..... hii ni nini?

Punyeto ilitengenezwa kwa ajili ya mijitu ya aina yako
 
umaskini wako ndo hnakufanyaa ufikiriee ilaa ungekuwaa na mambo ya kufanyaaa hata papuchi kukumbukaa usingeiwaziaaa kilaa kitu kina mudaa na kiasi usingizieee uanaumee ni ukosaji wa kazi na kukosaa cha kufikiriaa
Inaonekana we ni jiniazi mkuu duuh
 
wadada muwe na huruma na sisi kaka zenu huku maofisini. huyu secretary ni mke wa mtu leo kanifanyia makusudi ameliamsha dude mpaka muda huu linahema tu. kavaa nguo fupi halafu kaja ofisini kwangu kanigusisha makalio yake usoni akijifanya anainama..makusudi na hii si mara ya kwanza.

kazi haziendi akili yangu haipo hapa..yeye anacheka tu na kunifanyia kusudi..... hii ni nini?
Kimbia ufe , hilo gume gume litakumaliza hayo madude aliyokugusa nayo ni madawa kameza yameumuka... anatafuta listi ili siku akifa isomwe kuwa marehemu ameambukiza watu 100+
 
Wazinzi buana, hivi haya mambo ya kizinzi hufanyika sana maofisini?

Sisi watu wa chaka kwa chaka yanatupita pembeni.
 
sisi wenye afya zetu kaka tuna amsha amsha anytime... nyie wa kuboost ndo mnajiongeza na mnasimamisha kwa ratiba. mimi afya yangu ipo safi ukigusa tu kitu mnara...nipo standby anytime. sasa wewe jiite mwanaume wakati unataka uwe unaboost au inasimama kwa masaa sabab ya afya yako ya mgogoro. acha sisi tuitikie wito. "VINGI HUIGWA LAKINI KIU? HAIIGIKI"
we

utakuwaaa upo field au una volonteer watu wazimaa hawadindi hovyo hovyo ilaa nyie msokuwaa na elaa na hamnaa kazi minaraa inasimama 24/hrs
 
nishajua tatizo lako.. na mfalme selemani alikuwa maskini eti eeee? aangalia wanaogonga sana hizo issue kama ni maskini au matajiri. maskini utasimamisha saa ngapi unawaza chakula au hujala au hata nguvu zenyewe za kufanya tendo huna una mastress kibao. sisiwenye hela akili yetu ipo safi muda wote..hatukimbizani kimbizani na maisha. uliza uambiwe...haya mambo wewe unapoyakosa wenzio wanayapata. unamwona mengi kaoa mtoto mbichi? umri wa mengi angekuwa choka mbaya hata asingekuwa anapanda mtungi....


umaskini wako ndo hnakufanyaa ufikiriee ilaa ungekuwaa na mambo ya kufanyaaa hata papuchi kukumbukaa usingeiwaziaaa kilaa kitu kina mudaa na kiasi usingizieee uanaumee ni ukosaji wa kazi na kukosaa cha kufikiriaa
 
ofisini tunagonga sana hasa mida ile ya jioni wakati wengine wameshaondoka sisi tunajifanya hatujamaliza kazi za ofisi kumbe hatujamaliza kazi zetu binafsi.unampeleka washroom unamkamua hasa huko hakuna cctv
Wazinzi buana, hivi haya mambo ya kizinzi hufanyika sana maofisini?

Sisi watu wa chaka kwa chaka yanatupita pembeni.
 
Asubuhi yote mnawaza ngono, mnaharibu kazi za watu..

Mwambie siku nyingine ikifika mda wa lunch akufanyie hivyo..!!
 
sawa ndugu yangu ngoja nimwambie ntakuja kuleta mrejesho..ingawa waswas wangu huyu dada is married. na ana mtoto mmoja.
Mkuu unazingua, mweleze ukweli na upige kabisa vingnevyo ataendelea kukuletea mbwembwe

WANAUME WA DAR BHANA
 
haya ma cctc hovyo sana...kama ingekuwa tu ni sehemu ya kawaida kwa kweli ningemfanya jambo ambalo angeenda kusimulia kwa wenzie...ningempiga la mkwezi.
 
Pole sana brother. Wengi watakucheka, lakini ukweli mambo hayo yapo katika ofisi zetu.
Kaza moyo wako , uyashinde hayo majaribu.
Kumbuka huyo ni mke wa mtu asije akakuharibia kazi na maisha yako.
Kuwa mwangalifu saana kijana.
 
nashukuru umeyasema haya maana wengi hawayaelewi maybe ni kutokana na nature ya ofisi zao.sisi tunaokaa maofisini na wanawake zaidi ya masaa 10 huwa wanafikia hatua wanachoka kazi wnataka mikasi na story za mikasi tu ndo wanapenda...

Pole sana brother. Wengi watakucheka, lakini ukweli mambo hayo yapo katika ofisi zetu.
Kaza moyo wako , uyashinde hayo majaribu.
Kumbuka huyo ni mke wa mtu asije akakuharibia kazi na maisha yako.
Kuwa mwangalifu saana kijana.
 
Inaonekana mleta post Siku siyo nyingi utajiunga na chama cha CHAPUTA.
 
Dah...Mtumbue tu huyo...anakula muda wa ofisi😀😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom