Hapo kwenye madini yakianza kutoka hawakuamini nakubali na ilinikuta kipindi nawachenjulia wachimbaji wadogo nikiwa kama mkemia …baada ya madini kupatikana Elution hua wanaona aaah mbona hii kazi nyepesi hata sisi tungeweza fanya na wanabadilika hela mliokubaliana wanaanza kupunguza 😅
Well speaking of Elianje,jamaa (Yusuph)kafanya mengi sana na kajitahidi sana kuna baadhi ya vijana wa hapo chingumbwa aliwasomesha na kawaajiri mwenyewe..Mwenyekiti Abdallah anachoongea ni kweli vijiji vinavyozunguka Namungo vijana wengi hawapendi kazi na wanategemea kupata hela nyepesi bila...
Vip mnapata communication allowance ili mnunue vocha mpate mb za kutosha kujaza hizi taarifa kila wiki/siku/mwezi?? Kingine huu mfumo si mgumu sana kama mazingira na seminar za mara kwa mara zingefanyika kuwajengea watumishi uelewa wa hii mifumo..NB watumishi wengi hasa waalimu mifumo mingi ya...
Chuo gani hicho mkuu?….Anyways hii sekta ya madini ukiachana na suala la kusoma darasani,inabidi uwe mjanja mjanja sana kama bongo yako imelala na unategemea kulishwa kila kitu elimu yako utaishia kuifungia ndani…Kama ulivosema kwenye hizi shughuli za uchenjuaji na uchimbaji mdogo (kuozesha) mtu...
Wenye taauluma/wafanyabiashara wengi hawana hio spotlight/hawapendi spotlight ila wanafanya mambo makubwa na ni wengi kuliko hata hao machawa…Linapokuja suala la taaluma kwa nchi yoyote jambo hilo haliepukiki…Hawa wafanya biashara wakubwa nyuma kuna vijana wanawasaidia kuendesha hizi biashara...
Uchawa una gharama zake na ni wa muda mfupi…Taaluma/ujuzi/kipaji ni swala jingine kabisa,unakula asali taratibu ila kwa muda mrefu.Machawa wengi wanasomesha watoto wao shule nzuri na hata ukiwauliza kama angependa mwanae aje awe kama yeye hawakubali katu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.