Recent content by grand pa

  1. grand pa

    Vazi hili linamwakilisha Mtanzania kivipi?

    Simlaumu hata kidogo. Huo ni ubunifu wake. Watanzania tumekuwa na mavazi ya kila aina hapo zamani za kale. Historia inasema tumevaa magome ya miti, majani, ngozi za wanyama, kaniki n.k. Hatuna vazi rasmi la taifa. Si vibaya kuendelea kuwa creative mpaka tufanikiwe tupate na kukubaliana vazi la...
  2. grand pa

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mimi naulizia LUKU jioni hii ni vp? Najaribu kununua umeme naona naambiwa "muamala wangu haujakamilika, nijaribu baadae" Hiyo baadae sijui ni saa ngapi na umeme unaisha??!
  3. grand pa

    Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

    Kwa kiasi fulani nilikuwa nam-admire sana Diamond kimziki na maisha yake na Zari na family. Lakini baada ya tukio hili la ku-cheat nimemdharau. Nafahamu Waislamu wanaruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja, lakini sidhani kama wana afiki tabia ya michepuko.
  4. grand pa

    Huyu ndo mpinzani aliyebaki!

    Kupinga sio vibaya ila atumie lugha nzuri ya kistaarabu na heshima na sio ya maudhi ("spout") Sent using Jamii Forums mobile app
  5. grand pa

    Nimemtukana msichana ninaemtongoza kwa bahati mbaya, nifanyaje?

    Usikate tamaa kama kweli unampenda, muombe msamaha, mueleze ukweli kilichotokea na endelea kumtongoza. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. grand pa

    JF exclusives: ACACIA mining vs Government of Tanzania

    Kampuni ya Acacia haitashinda, hivyo ni vishindo na vitisho ili waendelee kutunyonya na kutuibia rasilimali zetu. Za mwizi ni arobaini, na arobaini yao imefika. Watuache na rasilimali zetu, tutachimba wenyewe kidogokidogo na kuruhusu nchi rafiki au makampuni yatayokubali na kufuata masharti...
  7. grand pa

    MALAWI: Going to war with Tanzania would be foolish

    That lake belongs to three countries: Tanzania, Malawi and Mozambique. In Tanzania we call it Lake Nyasa and it has been there time immemorial! Tanganyikans and later Tanzanians have been using it all along as theirs. At school we have always been taught that it belongs to all the three...
  8. grand pa

    Wanafunzi wenzake Norah waamsha vilio msibani

    Rest in peace Norah, bado malaika wewe nahakika uko mbinguni tu sasa, ingawa mjomba wako kakukatili na kukatisha maisha yako. Mwenyezi Mungu akubariki sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. grand pa

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Great idea. Count me in but I'm expecting to read and hear more from you
  10. grand pa

    Kupatwa kwa Jua: Sayansi imethibitisha Mungu hayupo

    Swali la kujiuliza Magode ni binadamu na viumbe vyote vimetokea wapi na kwa nini? Uwepo wako ni wa nini? Je hilo jua na huo mwezi vimetokea wapi? Kupatwa kwa jua hakukanushi uwepo wa Mungu bali ni moja ya miujiza ya Mungu. Kutabiri kupatwa kwa jua hakuna maana kua hakuna Mungu, mbona wana hali...
  11. grand pa

    Uliwahi kufanyiwa "interview" ya kazi na watu unaowazidi uwezo?

    Nilisha wahi na nikanyimwa kazi kwa kuambiwa niko "over qualified" !!
  12. grand pa

    Mbinguni/peponi pamegunduliwa

    Sorry, namaanisha....mwanzilishi wa maisha...
  13. grand pa

    Mbinguni/peponi pamegunduliwa

    Ngosiboy uko gizani na umepotea. Hata hivyo bado unaweza rudi kwenye nuru na ukweli ukijiuliza na kufikiria tu wewe umetokea wapi, binadamu na viumbe vyote vimetokea wapi kama sio kuwepo kwa mwanzilishi wa waisha, watu na viumbe vyote. Mwanzilishi huyo ndio muumba, ndie Mwenyezi Mungu.
Back
Top Bottom