Wanafunzi wenzake Norah waamsha vilio msibani

Wanafunzi wenzake Norah waamsha vilio msibani

Alafu ndugu tukiwafukuza mtatuita tuna roho mbaya! M/Mungu tulindie vizazi vyetu maana huu ni mtihani mkubwa wallah!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli generation hii ni akili kumkichwa,vinginevyo unaambulia kilio...wakati mwingine heri ya lawama kulikoni fedheha,unamkaribisha mwanandugu unaishia kujuta.
 
R.I.P Norah,wale wenye familia kwa issue kama hizi,ni vema ukipata mgani nyumbani kwako mtafutie chumba cha peke yake,usimchanganye na watoto.Alale mwenyewe hakuna cha kuaminiana nowdays.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
R.I.P Norah,wale wenye familia kwa issue kama hizi,ni vema ukipata mgani nyumbani kwako mtafutie chumba cha peke yake,usimchanganye na watoto.Alale mwenyewe hakuna cha kuaminiana nowdays.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kisa nini mkuu, aliyehusika na hili tukio ni ndugu wa karibu na marehemu?
 
Rest in peace Norah, bado malaika wewe nahakika uko mbinguni tu sasa, ingawa mjomba wako kakukatili na kukatisha maisha yako. Mwenyezi Mungu akubariki sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo angeuawa tu kabla ya kufikishwa huko, mahakama zetu wakati mwingine uwa sizielewi maana yule Rama aliyehusika na mauaji ya mtoto Salome (wa segerea) eti sasa hivi yuko mtaani na amekuwa maarufu mpaka anahojiwa na vyombo vya habari vya Shigongo! So sad!!!
 
Nilichewa nikakuta habari imeisha naombeni link ya uzi wa huyu mtoto nijue sababu
 
Ningekuwa rais,aliyetenda kosa hilo wala sitafikiria mara 2 adhabu ya kumnyonga faili lake likiletwa mezani kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app

Quraan ilivoweka sharia hii watu wanabeza sana kuwa ni uonevu! inauma sana Mtu anaua halafu eti afungwe kifungo cha maisha ! baadae anakuja Rais anamtoa eti kareebisha tabia, na yule alouawa anarudi?
 
Nilichewa nikakuta habari imeisha naombeni link ya uzi wa huyu mtoto nijue sababu

Niliona kwenye whatsapp, inasemekana kuwa mtoto alibakwa na mjomba wake na katika kupoteza ushahidi akamnyonga mtoto, bahati nzuri sana wakati anambaka huyo mtoto jirani akasikia kelele za mtoto akilia , mara akasikia hakuna kelele tena, akasema ngoja achungulie , akakuta mtoto ameshakufa na anatoka damu nyingi kwenye sirini, na mjomba ANAMALIZIA KUVA SURUALI! kuulizwa kulikoni akasema mtoto amejinyonga! yaanai NINGEUA KWA KUKUSUDIA KWA KWELI!
 
Niliona kwenye whatsapp, inasemekana kuwa mtoto alibakwa na mjomba wake na katika kupoteza ushahidi akamnyonga mtoto, bahati nzuri sana wakati anambaka huyo mtoto jirani akasikia kelele za mtoto akilia , mara akasikia hakuna kelele tena, akasema ngoja achungulie , akakuta mtoto ameshakufa na anatoka damu nyingi kwenye sirini, na mjomba ANAMALIZIA KUVA SURUALI! kuulizwa kulikoni akasema mtoto amejinyonga! yaanai NINGEUA KWA KUKUSUDIA KWA KWELI!
Ooooohhhhhh gooshh kumbe kuna shahidi kabisa wanafanya uchunguzi upi tena. Asante mkuu
 
R.I.P Norah,wale wenye familia kwa issue kama hizi,ni vema ukipata mgani nyumbani kwako mtafutie chumba cha peke yake,usimchanganye na watoto.Alale mwenyewe hakuna cha kuaminiana nowdays.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sio kulala chumba kimoja bali kuishi nae nyumba moja ndugu/mgeni. Mfano kama tukio hili mtoto aliachwa nyumbani na mjomba wake. Kwa hivyo hapo kama huyo mjomba mtuhumiwa akiwa ndie mbakaji basi kulala chumba tofauti na watoto sio suluhisho.
 
Ndio maana mm sitaki ndugu wala Mgeni kwangu Labda awe mama yangu tu ndio naweza nikamuamini.
 
Ooooohhhhhh gooshh kumbe kuna shahidi kabisa wanafanya uchunguzi upi tena. Asante mkuu

LAzma wajiridhishe kwa sababu alietendewa amefariki, sasa lazma wachunguze kama kweli alibakwa! na kama kweli mjomba aliua!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom