Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,141
- 159,060
Oooooh!!From the day he accepted his son abdullylatif
Oooooh!!From the day he accepted his son abdullylatif
Ambao hawajapevuka hawaelewi hayoKukua ni kuishi kwingi na kuishi kwingi ni kuona mengi!!!
Walioona mengi wote wanafahamu kwamba HAKUNA MWANAUME MWENYE FAMILIA ambae eti atakuwa tayari kukubali kupiga mimba nje tena wakati jambo lenyewe likiwa bado bichi!!!
Wote waliokua na kuona mengi wanafahamu kwamba wanaume wengi wamezaa nje ya ndoa zao lakini kwa muda mrefu inabaki siri isiyofahamika na mke/hawara halali wa mpiga mimba!!!
Waliokua na kuona mengi wanafahamu kwamba wanaume huu wakilikoroga wanachofanya ni ku-accept full responsibility na kuendesha mengine kimya kimya! Na ni kutokana na ukweli huu ndio maana watoto wengi wa nje ya ndoa huwa wanaungana na familia ya baba wakati wameshakuwa wakubwa. In most cases, above 10 years!!!
Kwamba huwezi kumkana mwanao naona unapindisha ukweli! Hakuna aliyesema suala la kumkana mtoto hapa kwahiyo usipende kupotosha!!! Hoja ni kwamba, mwanaume aliyepiga meechi za mchangana atafanya siri inayofahamika na yeye, hawara aliyepigwa mimba, ndugu wa hawara, na ndugu wa mume peke yake. Atakayefichwa hapa ni mke na familia yake na lengo kuu ni kutoleta mgogoro wa kifamilia!!
Na hicho ndicho alichofanya Diamond! Alikubali mimba from the beginning, familia yake ilifahamu na familia ya Hamisa alifahamu! Alichofanya yeye ni kujaribu kumficha Zari!!!
Kwavile Diamond ni public figure, kingine alichofanya ni kuificha jamii kwa sababu, kuifahamisha jamii ingekuwa ni sawa na kumfahamisha Zari sekunde hiyo hiyo!!!
Sasa kama yote hayo huyafahamu nashindwaje kukuambia inawezekana hujakua?! Hata wanawake wenyewe endapo tunatoa suala la u-team hapa wote wanaweza kukubaliana na Mond unless mwanamke mwenyewe awe ni aina ya Hamisa! Watakubaliana na Mond kwa sababu, unaweza kuta miongoni mwao tayari wamezaa na mwanaume mwenye familia lakini bado hiyo ni siri ambayo mke hafahamu!!!
Kutokana na hilo, ndipo hatimae utafahamu JF imevamiwa na nani hasa! Mtu kama mimi au wewe!!!!
Hata sikuwa kazini jana na leo, nilikuwa busy tu na mambo mengine. Sasa naingia humu ndio nikauona huu uzi kwa bahati tu, nausoma kumbe wa tokea jana!! Ama kweli nimezeeka.Loooh!ndo ubusy na watoto
Na wewe ulipita celeb forum ili upate story za stock market?
Mi mwenyewe eti ndo najua sasa hivi, duuh!! Tunaishi kwenye box nadhani sistaAma kweli niko nyuma ya dunia, eti haya ndio nayajua sasa hivi baada ya kuyasoma humu!!!!
Shikamoo bibiHata sikuwa kazini jana na leo, nilikuwa busy tu na mambo mengine. Sasa naingia humu ndio nikauona huu uzi kwa bahati tu, nausoma kumbe wa tokea jana!! Ama kweli nimezeeka.
Mi mwenyewe eti ndo najua sasa hivi, duuh!! Tunaishi kwenye box nadhani sista
Marahabaa mjukuu wangu.Shikamoo bibi
bibi uzalendo Kwanzaa labda kaduly katakua mkwe wanguMarahabaa mjukuu wangu.
Sasa wewe uko upande wa nani? Zari au misa?
Jamani jamani!! Zari aliwakosea nini lakini? Mie nampenda zari na namhurumia sana ktk hili.bibi uzalendo Kwanzaa labda kaduly katakua mkwe wangu
Mtoto yupo njema sanaKadem ni kazuri sana, m binafsi nilikakubalig siku nying sana.
Pia sio muongeaji sana, hajui kubwabwajabwabwaja kama hao wengine
Kama mimi Zari....Natafuta mwanamme Mkenya nazaa nae so nakuwa na watoto wa [HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG] [HASHTAG]#Kenya[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Uganda[/HASHTAG] nakuwa nawakilisha [HASHTAG]#Afrikamashariki[/HASHTAG] vizuriiiiiiiiiiiiiiiiiHahha...
Anaanzaje sasa...!!??
Af dada rudisha avatar ya watusitaki!
SirudishiAf dada rudisha avatar ya watu
Mond hakukosea kuchepuka bila taarifa kwa haka kamchuchu..Mtoto yupo njema sana
Who r u, unajb hv..Sirudishi
I Am Who I AmWho r u, unajb hv..
Kwa kwelii mission accomplishednazani ni kutegesha mimba kwa wenye mikwanja lol