Recent content by Grace James

  1. G

    Florah Mbasha na mumewe "WAPATANA"

    Glory to God
  2. G

    Kwanini wale Albino wahukumiwe leo since 2008?

    kulingana na maelezo ya jaji ni kwamba hiyo kes among other cases za geita zimechelewa kuisha coz geita hamna high court so mpaka wasubir high court secission ya judges frm mwanza kwenda kusikiliza kes geita. pia hiyo ked imepitia mikononi mwa judges weng kutokana na kuhamishwahamishwa so kila...
  3. G

    Rais Kikwete ateua Wakuu wa Wilaya, wengine waenguliwa kutoka kwenye nafasi zao

    duuu wa korogwe Gambo mbwembwe zote zile. chaliiiii. watu wa korogwe leo watafanya sherehe
  4. G

    Mke graduate

    we sio bure itakua yamekukuta yakukuta. nyie wanaume si mnasemaga wanawake waalimu ndio the best wives sasa leo imekuaje?? pole sana ila hauna point kabisa katika hiyo thread yako.
  5. G

    I'm a lesbian but i'm scared to tell anyone what should i do?

    mi namshaur huyo dada atafute wachungaji wamuombee hilo litakuwa ni pepo tuu! mbona kuna yule shoga wa miaka hapa towm aliombewa pale kanisan magomen mikumi. akaacha kabisa ushoga na akaanza tamani wanawake at at last akaoa mke humohumo kanisani.
  6. G

    Mariam Kisangi kuwepo bungeni ni ujambazi! Huyu mama ni wa wapi?

    huyu mama kichwani zero kabisa. siku ile aliongea pumba sana. alikua akiongea kama kamezeshwa maneno ya kuongea kabla ya bunge.
  7. G

    Mwanamke yeyote akikupa mara moja, hata akiolewa ukimwomba tena atakupa tu

    ila hii thread haijakaa kijender balance. kwani wote mwanaume na mwanamke wamegegedana why mwanamke ndovaonekane kimeo kwa kulala na x. mi naona hata mwanaume nae ni kimeo kama umeshaachana na mtu ukaoa au ukawa na mahusiano why uchepuke kw X gf wako??
  8. G

    Anna Makinda umepewa ticket ya kugombea Urais

    leo nimempenda bure Anna makinda. umameonyesha uzalendo wa hali ya juu
  9. G

    Mwanamke yeyote akikupa mara moja, hata akiolewa ukimwomba tena atakupa tu

    hapana aisee! wanawake weng walio kwenye ndoa huwa wanaheshim sana waume zao hawachepuki kabisa. ukiona .mwanamke alie kwenye ndoa anachepuka kw X ujue mumewe anamsaliti sana hivyo na yy aanjupoza nje au anamkomoa mumewe. wanawake walio single ni rahis kulala na x coz of loliness asikuambie mtu...
  10. G

    Angalizo: Wanaoitwa interview na utumishi wa umma

    hizi ndo mada tunazozitaka humu. asante mkuu
  11. G

    Utumishi wameita kazini, Nimekosa tena

    usikate tamaa kijana. mi nimemaliza 2009 ndio nimepata hizo walizotoa jana. jipe moyo usikate tamaa
  12. G

    Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ni shida

    wewe wala hakupokelewa kishujaa kama unavyompamba. mi nipo korogwe kilichofanyika ni kuwakusanya watu wa bodaboda na kuwawekea wese ili wakampokee segera. wengine waliwekewa mafuta wakasepa wengine wakaenda. ila walifata maslai tuu sio kuwa wanampenda. na hata kwenye huo mkutano ulifanyika...
  13. G

    Ilishawahi kukutokea?

    nina rafik yangu imemtokea hiyo ishu tena ye aliachwa kwa mbwembwe wakati wameshachumbiana bt still anampenda huyo mtu wake
  14. G

    Madudu ya wahitimu vyuo vikuu.

    kwani product original zinatolewa chuo gani? SHAME ON U!
Back
Top Bottom