Hayo sasa matusi.Atoke mwingine atukanwe mwingine? cmon mdada!Hivi mbona mnatuonea sna wanawake jamani!! Mwanamke anaeheshimu ndoa yake na mumewe sidhani kama anaweza kufanya kitendo kama hicho kwenda kuchakachuliwa na dume lingine...
Kma kuna mwana JF na umefanyiwa hivyo na mkeo bas jua wewe sio RIJALI!!:redfaces::redfaces::redfaces::redfaces:
New broom sweeps better, but the Old one knows all the corners ...... source my signatureOld flames are easy to re-ignite unless bridges were burned...
Yeah Shit happensHii theory inafanya kazi in "either way"!
Nasikia ukimkuta kaolea au ana BF mwingine na alikuwa kipenzi chako miaka kadha imepita
ww mwambie eehhhh kaaaahhh umependeza huyo jamaa kakupa nini? utaona kafurahi then unaanza sasa then direct, plse nimekumiss yaani basi tu, mara unajua mzee/ BF mkali,
then unamwambia ebu chukua hii fedha kidogo ya matumizi kesho nipigie tukutane wapi? ndio tayari hivyo
Hapana hii asilimia 75 sio sahihi kuna wachache wanatoa lakini wengi wakiolewa sahau labda agundue mumewe anauza mechi atakupa kumkomoa.
ni tabia mbaya hata kwa wanaume kungangania mke ya mtu, heshimu ndoa kwa jamaa yako. Ya kale yamepita tafuta mengine, wanawake imejaa tele.
Hapana hii asilimia 75 sio sahihi kuna wachache wanatoa lakini wengi wakiolewa sahau labda agundue mumewe anauza mechi atakupa kumkomoa.
Sasa hii inatisha maana tunaoa wake wameshapitia o level, A level na vyuo, bado sehemu alizotembelea jumlisha na nyumbani kwao, kote huko pengine alikuwa na wapenzi tofauti na waliachana si kwa kugombana bali kwa vile shule/chuo wamemaliza kila mtu anarudi kwao. Hapa mimi pressure inapanda, pressure inashuka, ok napotezea kwani hata mimi huwa natoka nje ya ndoa bila wife kujua ila mara chache chache sana.
Sikubaliani KABISA na ww mkuu. kwanza kama mliachana kwa usalama ina maana uliona hakufai tena kama mwanaume. most of the times an ex is seen as an ennemy/ or a friend we are a bit ashamed of, nikwambie tu ukweli. Coz kila tukiachana na mtu na kupendana na mngine, huyo mpya atakua ni better kuliko wa zamani. na kama tukiamua kufunga pingu la maisha basi huyo huwa ni bora kuliko wengine wote. Ex akisema umependeza kweli inafurahisha but pia inside unasema "ananipa ulicho shindwa kunipa wewe". Ao vipi sisters wa JF?
Hapo ndo ujue kuwa demu ni wako tu pale uwapo naye wewe. Na wajuavyo kuhifadhi siri hawa viumbe...tehtehteh...mzee mzima huenda ushamegewa. Natania tu maana usije ukarudi nyumbani na kumuwakia mamsapu wako.