ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 10,292
- 4,974
blabla zote hizo kazi walishagawana kabla tangazo halijatoka
Yan mtoa mada naumia kwasababu kuna kosa nimeshalifanya. Hilo la kupitisha barua kwa mwajiri, kuna maombi nimetuma sehemu flan walihitaji barua ipitishwe kwa mwajiri ila sikufanya hivyo. Kwa mfumo huo mie nitakua nishajitoa kwny mashindano.
katika intervie yetu, yule afisa kutoka utumishi wa umma alikuwa anawatoa nje, kisha kuna form, naweza kuita ya scored marks, tulikuwa tunajaza NIL, sehemu zote, kisha ktk comments tulikuwa tunaandika "government employee" huku na yeye msailiwa akiondolewa katika mchakato!
Lakini kuna ambao, walifanya mpaka mwisho wa interview, lakini hiyo comment inawamaliza!
mtu kama huyo kwa kweli hukuna namna kwa wasaili (interviewer) inabidi kumuweka kando ili wenye shida na ajira wapate nafasi....huwezi kwenda kwenye usaili wowote duniani bila kuwa na original certificate
Na sehemu ya kuuliza maswali unatakiwa uulize maswali gani?
Yan mtoa mada naumia kwasababu kuna kosa nimeshalifanya. Hilo la kupitisha barua kwa mwajiri, kuna maombi nimetuma sehemu flan walihitaji barua ipitishwe kwa mwajiri ila sikufanya hivyo. Kwa mfumo huo mie nitakua nishajitoa kwny mashindano.
mkuu! haya ya mademu yamekujaje hapa? hao mademu hapa nawapataje?
Career advancement opportunities, employee recognition program(s), measurement of success, company growth, etc.,
hizi ndo mada tunazozitaka humu. asante mkuu