Huku mashuleni tulikuwa tunahagaika sana,nadhani kwa kupitia mkopo huu wa WB sasa practice hii itakoma na tutapewa mwonhozo mbadala wa kushughulikia maswala haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si Tanzania hii ya Magufuli!! Brother mkakati wa kiuchumi kwa ziwa viktoria wa Tanzania ambao umeshaanza kutekelezwa ni mkubwa zaidi tmya hiyo bandari,
Liverpool ni timu bora Ulaya,ndio maana wako nafasi ya 3,wampe muda klopp,msimu wa tatu mfululizo anashiriki fainali zinazoandaliwa na UEFA,SI JAMBO DOGO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.