😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Kuna hasara yoyote utapata?
Pombe sijaiona hapo mkuu.natumai mmeamka salama wakuu.
kila mmoja wetu ataje starehe zake 3 ambazo ndo kila kitu kwake na maelezo yake.
zakwangu hizi hapa:
1. kugegeda
2.intanet
3.mpira
kugegeda hurefresh my mind na kunifanya nienjoy zaid maisha, intenet hunitoa stress nakunifanya nicheke peke angu kama jinga na mpira hunipa furaha ya ajabu ilochanganyikana na wendawazim kidogo.
je upande wako???
nawatakia corona njema wakuu.
Pombe sijaiona hapo mkuu.1.Music hasa ile ya kikongo ya zamani nikiwa na stress hii ndio chakula ya ubongo
2.Mpira
3.kusoma
Pombe sijaiona hapo mkuu.1:kugegeda misambwanda
2:internet
3:kuangalia liverpool ikicheza football
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahah,halafu sipigi vyombo kabisa.watu kibao wanahusisha hizi nyimbo zangu na kupenda vyombo sema ndio vile haya masongi yalitamba kipindi cha makuzi yangu