kwanza mkuu pole sana kwa yote unayopitia na yale uliyopitia, lakini nadhani pia yapo mengi kwa upande wako kama mwanaume ile hali ya ww kutokuwepo sana ndani ya nyumba katika makuzi ya familia yako yote inafanya mwanmke kuanza kujiona yeye ndio kila kitu na kuanza kupandikiza chuki kwa watoto...
hii inchi ina visanga sana ebu fikiria juzi kuna mtu anajifanya ni daktari kabisa na anatapeli watu sasa ni wangapi wanatumia kazi za police kufanya mambo mengine ya kipuuzi kama hao unaowataja ? sehemu nyingi sana kuna wajinga wajinga kibao wanawapiga watu kila siku.
maisha haya ni fumbo zito sana, mtu anaua kabisa na kufunga kama mzigona anaenda tupa kabisa mwanadamu mwenzie, ni huzuni kubwa sana. Yote hayo ni katika kutafuta chakula, madaraka na starehe ( uchi) hakuna lingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.