Recent content by Goodhope078

  1. Goodhope078

    Hizi ndizo bei mpya za vifurushi vya Azam TV

    Nashaangaa channel za michezo hazionekan
  2. Goodhope078

    Hizi ndizo bei mpya za vifurushi vya Azam TV

    Nimelipia j3 tu iliyopita Leo hii vifurushi vya azam sports hazionekan Naombeni msaada tafadhari
  3. Goodhope078

    Hizi ndizo bei mpya za vifurushi vya Azam TV

    Jaman mm nimelipia j3 25 Leo tarehe 1 mwez wa 9 channel za azam sports hazionekan jaman nifanye nn
  4. Goodhope078

    Job seeker

    Cc
  5. Goodhope078

    Mdogo wangu ameomba kazi Mamlaka ya Viwanja vya Ndege kama Aircraft Marshall

    Jamani khabari za uzima!? Kwanza nipende kupeni pole na majukumu ya ujenzi wa Taifa. Ndugu zangu naombeni msaada kuna mdogo angu ameomba kazi mamlaka ya viwanja vya ndege kama aircraft Marshall. Lakini nikiangalia majina yanayota ya wanaoitwa kwenye usaili ni tasisi zingine tu kama kuna mtu...
  6. Goodhope078

    Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

    Ukiangalia vizur hio video pale mwishon Utaona cm ndo ilitumika kurecord wala hata sii vifaaa maalum
  7. Goodhope078

    UDOM second round

    Vipi wakuu bado tu UDOM hawajatoa majina ya second round ya diploma na certificate? Tafadhari mwenye kuyapata mapema anisaidie
  8. Goodhope078

    UDOM second round

    Jamani hawajatoa tu second round selection??
  9. Goodhope078

    Nakufa na stress za kukosa chuo

    Huwezi kukosa kotekote mkuu kuwa na matumaini
  10. Goodhope078

    UDOM second round

    No first round
  11. Goodhope078

    IFM COMPUS MWANZA

    Ndo mguu wako wa kushoto
  12. Goodhope078

    IFM COMPUS MWANZA

    Sina shda na vkubwa mkuu
  13. Goodhope078

    IFM COMPUS MWANZA

    Naomba mwenye majina ya walio chaguriwa ifm mwenye majna
Back
Top Bottom