Nakufa na stress za kukosa chuo

Nakufa na stress za kukosa chuo

Bado hawajatoa mm nmetokakuwapigia cm mda cmrefu nmeongea nao wamesema bado hawajatoa tusisikilize maneno ya mitandaoni
 
Maisha haya kweli ni kuzungumkuti.....kuna graduates wanajilaumu kwa muda walioupoteza chuo lakini kuna wengine sasahivi wanahaha kutafuta vyuo na wanapoona kuna dalili ya kukosa wanachanganyikiwa kabisa..
 
Maisha haya kweli ni kuzungumkuti.....kuna graduates wanajilaumu kwa muda walioupoteza chuo lakini kuna wengine sasahivi wanahaha kutafuta vyuo na wanapoona kuna dalili ya kukosa wanachanganyikiwa kabisa..
kama me tuu, hapa nmekosa chuo nabaki nashangaa tuu
 
Ndio hivyo ndugu ningeweza kumshauri sema me masomo yao siyajui angekua amesoma science ingekua rahisi kumsaidia pia na epuka lawama akikosa asije kusema nilimuharibia
Inavyoelekea huyo dogo kapata F ya maths o'level sasa round ya kwanza alivyochagua kozi hizo akakosa kwa sababu zinahitaji uwe na credit ya maths either o level au advance..dah sasa ndo akaamua achukue kozi za kisanii kabisa kwa third round so sad
 
pole sana,Rais wetu watu wote wasome wenye vigezo vya kusona na asome,hata mzazi huwa anamsomesha mwanae kama ndio urithi wake..
 
Kuna Boy wake ametangulia huko mwaka jana , ndio anamjaza ujinga , wa kuchagua madude hayo alafu cha ajabu ameomba chuo kimoja tu.
IMG_20180928_190745.jpeg
 
Kuna Boy wake ametangulia huko mwaka jana , ndio anamjaza ujinga , wa kuchagua madude hayo alafu cha ajabu ameomba chuo kimoja tu.View attachment 880592
Mm siwezi kumlaumu sana uyo boy wake ila namlaumu mlengwa coz yy ndo mwny dream yake mwnyw ko km ameona kumsikiliza boy wake kuliko kufata dream ake napo sawa tyu mkuu ww ata akikwambia umuombeee coz gan ww fanya atakuja kujuta mwnyw mbelen
 
Hiyo ni couple katika harakati za kukutana chuo kimoja me nimekaa pembeni nakunywa juice ya miwa naangalia tu.
 
Ameshajichanganya me nafuata maelekezo, unaambiwa kusoma sio mwisho wa ujinga
IMG_20180928_210903.jpeg
 
Baadhi ya vyuo second round selections bado haijatoka huku third round of applications imeshafungwa.
Third round sikuapply kwasababu nilikuwa nasubiri UDOM na MZUMBE watoe second round , mpaka sasa bado hawajatoa. What if nikikosa UDOM na MZUMBE?
Kuna vyuo kama mipango ddma na udom bado hawajafuna
 
Back
Top Bottom