kuweni na subira mkishaona DR HUSSEIN MWINYI katangaza nia tuu baasi piga ua garagaza huyo ndio rais atakayemrithi JK, nadhani anasubiri wote wamalize kurusha kete zao na yeye afunge dimba.
ukisoma hiyo meseji ya dina ukailewa utajua kuwa ishu hapa si zamaradi ila ni mzee wa fitna ruge. manake diana anadai anafanyiwa revenge kutokana na mtu wake wa karibu ambaye revenge hii haimuathiri huyo mtu.
basi hapa ni ncha kali tu alivyoondoka wakaona wamkomoe mama watoto wake.
jamani ruge...
mume wa kwanza wa kris jenner alikufa na cancer miaka miwili mbele baada ya kuachana na kris na alikuwa akiishi na mwanamke mwingine ambaye alimuoa baada ya mwezi akafa.na boyfriend wake wa sasa ana miaka 34 na sio 29 kris ana 59. na aliyesambaza sex tape ya kim ni ray j akidhani anamkomoa kim...
bado hajatoa kifanyizio hivyo hutoweza, anasubiri baada ya mwaka ajue kama ataondoa kifanyizio au la! ila bado gegedo lipo ndugu usije ukaenda yakakukuta mengine.
yes ana mke na watoto mkewe ni jaji mfawidhi huko moshi ana wivu hatareee aisha makongoro or aisha nyerere alikuwa jaji arusha muda mrefu naona sasa kahamishiwa moshi.
hapo ndo panapokera maneno meengi mara maisha bora kwa kila mtanzania huku hata maji safi ni tatizo sasa ni safari ya matumaini utafikiri nchi ina ngoma hadi inakera! mafisadi wameshika hatamu kila leo wanasafiri nje wanaona maendeleo ya wenzao ila wakirudi bongo hata hawajifunzi wao wanawaza...
ati maisha bora kwa kila mtanzania mh!! ilitakiwa iwekwe wazi maisha bora kila fisadi full stop.
subirini butwaa DR HUSSEIN MWINYI ndio atakayemrithi jk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.