Ningekuwa Ally Kiba

Ningekuwa Ally Kiba

Bofya hapa kushuhudia mchezaji wa Man city W.Bonny akimwaga miuno wimbo wa taarabu wa Diamond ft Kopa.
Watu ooooh taarabu eeeeeh taarabu haya sasa ndimu zinawahusu
 
kwa taarifa yako hakuna mwanamziki na mwenye uwezo wa kuimba kama THE KING jamaa yupo bomba sana kuanzia sauti mpaka kutawala jukwaa. K 4 REAL

Yupo dai
Kamzidi kila kitu, kamwachia makombo tu
 
Leo mumetumwa kwa Kiba nini mana vinyuzi vingi visivo na kichwa wala miguu vimezidi humu. Mtajibeba kiba atabaki kuwa Kiba tu nyie hangaikeni Mpaka mchoke

Ngoja wampe ukweli ili afanikiwe..tatizo mashabik wakiba hamtaki kumshaur msani wenu,

Paka leo hajatoa video wimbo tulisha usahau siku nyngi,

Sankoro sankoro
 
Ngoja wampe ukweli ili afanikiwe..tatizo mashabik wakiba hamtaki kumshaur msani wenu,

Paka leo hajatoa video wimbo tulisha usahau siku nyngi,

Sankoro sankoro

tena kumshauri mtu sio dhambi!
 
Dah leo nimeamini
Huku kuna mtu kama wewe mwenye Busara. .ur def a supporter of good music and not a team flani sijui flani..#Respect kwako
 
Back
Top Bottom