bora umelijua hili kuwa kiba ana uwezo mkubwa
jamani acheni kupoteza muda hapa jf, mambo yote ni kwamba kiba ni habari nyingine
Ujue binafsi simlaumu Kiba, 80% ya wasanii bongo wanawaza soko la ndan, so mawazo yao, investment zao ni soko la ndan
99% ya wacheza soka bongo wanawaza Simba na Yanga
99% ya wasomi bongo wanawaza wafanye kaz Bot,TRA, na kushika vitengo fulan kwenye mashirika ya umma makubwa na wizarani
So kufikiria kimataifa, ni msamiati mpya kwetu, ndo maana si wasanii,wanamichezo wala wasomi wanaopeperusha bendera ya nchi kimataifa had kufika level ya kujisikia fahari.
kama wasomi wapo wengi na elimu kubwa kuliko Kenya,Nigeria Etc lakin ukienda kwenye mashirika ya kimataifa hao jamaa ndo wana post zote
Vipaj vya soka na ushabiki wa soka bongo ndo kwao lakin hakuna ajenda ya kimataifa
Kuna watu wanatalent et, mi kwenye kuimba sijawah ona mtu mwenye uwezo mkubwa wa kuimba kama Marlow, saut nzur natural kama AliK, Uwezo mkubwa wa kuperfom jukwaan kama TID,Makomando , uandish mzuri wa rylics kama Fid,Na ustad kwenye muzik kama Barnaba
Amin amin nakwambia kat ya hao wote hapo juu wanauwezo mkubwa sana wa kufanya maajab ktk nch hii bt ni only tu watakapo badilisha focus yao kuipeleka kimataifa.
Diamond na Ay lets say wanachozid wengine ni wana element za ujasiriamali, ambazo wanazi apply kwenye musik wao, mtakesha mkibishana kuwa mbona Mwana FA anaghan na ana flow nzur zaid ya AY bt Ay ndo anakuwa juu had kufika levo za kuwa manager wake??
Ningekuwa Alikiba ningeomba Diamond asimamie uandaaji na usambazaji wa track yangu moja then nione matokeo yake amin amin nakwambia hyo track ingenifanya niwe juu zaid na zaid na pengine had kumfunika vibaya sana lakin si kwa hiv sasa imavyoendelea
#Saynotounfaircompetition