kuweni na subira mkishaona DR HUSSEIN MWINYI katangaza nia tuu baasi piga ua garagaza huyo ndio rais atakayemrithi JK, nadhani anasubiri wote wamalize kurusha kete zao na yeye afunge dimba.
Hatupigii kura mwislam tena hawana akili ya kuongoza nchi,rejea kwa baba ake na jk.
The answer is .............damu ni nzito kuliko maji.1. Je ni Lowassa? Rafiki yake mkuu aliyemsaidia kuingia ikulu mwaka 2005?
2. Je ni Bernard Membe anayepigiwa upatu na familia ya Kikwete?
3. Je ni Makongoro Nyerere asiye na makundi ndani ya chama wala kashfa za ufisadi?
Yupo yupo anangoja aone nani yuko mstari wa mbele katika huu utitiri wa wagombea ili naye aunge tela kuonyesha huyo ndiye mgombea anayempigia chapuo.
Kikwete hana mtu wake. Ndo maana na wewe unabaki kuuliza maswali tu
Hujaelewa dhumuni la bandiko hili, angalia picha ya January Makamba, ukipata jibu njoo tukueleweshe.kwani wabunge wa chadema sahizi unawaona wote bungeni? Ukipata jibu njoo tukueleweshe sasa.
muangalie kwenye picha husika hapo kwenye gazeti kisha pata jibu.Kawaje??