Recent content by Godz favourite

  1. G

    Harufu ya ubwabwa porini

    Kama nyoka ananukia ubwabwa basi sipatii picha ukila wali nyoka... Itakuwa noma
  2. G

    SUMATRA, basi la Skyline linatuibia abiria kwa kututoza nauli tofauti tofauti

    Basi la skyline linalofanya safari zake kutoka Dar kwenda Arusha (T335 DGB). linatuibia abiria wake kwa kututoza nauli tofauti wakati wote tunaelekea sehemu moja.. Mfano mimi wamenicharge 32800, kuna mtu nimepanda nae yeye kalipa 18000, kuna dada amelipa 30000 mwingine yupo nyuma yangu...
  3. G

    Ali Kiba, The Greatest Faker Of All Times! Youth Take Notes How To Win Big In Life! (The Review)

    hii mikojo uliyoandika humu ndo unaiita well researched.... hili li janamke sijui la wapi hili
  4. G

    "Akaunti yangu ina more than billion"- Diamond Platnumz

    Reasonable kwa akili zako???? Yaani unajilazimisha kutoamini na unajipangia majibu unayotaka wewe... Basi tufanye kwnye account ana elfu tano
  5. G

    Kala Jeremiah ft Roma - Nchi ya ahadi

    Download wewe.... We wekaweka namba ovyo ndo utajua kwann sungura ana mkia mfupi
  6. G

    Fuvu la Goliati lagunduliwa

    Kwahyo tokea dunia ianze ni goliathi pekee aliyewahi kupigwa jiwe??
  7. G

    Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

    Basi una roho ya umaskini inakuandama.... Yaani mtu atumie cha shimo wakati account inaruhusu atumie cha gold!!!
  8. G

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Real madrid wamshukuru neymar kwa kukosa magoli kibao ambayo yalikuwa open chances kabisa ... Na pia neymar alikuwa mchoyo wa pasi , alipoteza mipira mingi sana na alikuwa anachelewesha mashambulizi kwa kukaa na mpira bila sababu... Real madrid bahati yenu mmefungwa goli mbili tu
  9. G

    Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

    Kingekuwa cha shimo ungemsifu kwa kujali kesho?
  10. G

    Wanaume Wengi Siku Hizi Ni Lege lege, Waoga Sana Wa Maisha, Not Good Husband Type At All.

    Akili mbovu... Eti ukilala njaa ndo unapata akili... !!! Huko somalia daily watu wanalala njaa badi ndo wangekuwa matajiri zaidi duniani
  11. G

    Uhuru, Kikwete agree to defuse tourism dispute

    Hamna lolote u begged for it... Mimi wakenya siwapendi nikimkuta mkenya na nyoka wana njaa bora nimsaidie nyoka nimwache mkenya afe cuz they are so primitive
  12. G

    Uhuru, Kikwete agree to defuse tourism dispute

    And the winner is Tz...... Kenya has surrenderd.... Kenyans are always trying to be the Lion king of everything ,, its time we take their breath away
  13. G

    Samsung galaxy grand inauzwa kwa bei chee

    Samsung galaxy grand mpya inauzwa kwa bei ya shilingi laki tatu tu... No defects ...no shit... Kwa maelezo zaidi njoo Pm tufanye biashara
  14. G

    Picha ya 'Pacha' wa Ally kiba

    Atakuwa baba
Back
Top Bottom