Recent content by Godoro la kioo

  1. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    Wewe wa kike au wa kiume maana unachanganya
  2. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania UKWELI NI UPI KUHUSU HIKI KIWANDA CHA BAKHRESAA

    Wakuu kuna mjadala nimeukuta facebook sasa nilitaka kujua ukweli wa jambo ukoje Maana inasemekana wao ili wakupe kazi hawahitaji nida,passport wala kadi ya mpiga kura isipokuwa nguvu zako tu ila mziki wake utapenda we na roho yako Picha linaanza .Unakimbia na roba la kilo 50...
  3. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Pombe ilikufanya kitu gani mpaka ukasema sasa rasmi naacha?

    Kwa vile umeamua kunikumbusha basi haina shida lakini binafsi sitaki hata kukumbuka Mara ya mwisho kugusa pombe ilikuwa ni mwaka 2015 sasa ilikuwa hivi Jamaa angu alikuwa na kasherehe kakiaina basi akanialika kwa kuwa ratiba yangu haikuwa ngumu sana na sikuwa nimebanana sana ikabidi...
  4. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Hiki nilichokifanya hakitoleta shida huko mbeleni

    Salaam. wakuu kina kitu kidogo nilitaka walau kwenu nyinyi mtazamo wenu je hakitoleta shida huko mbeleni Inshu nzima iko hivi . kuna demu flani nilikutana nae maeneo flani demu kiukweli nikatokea kumuelewa Basi nikaamua kumtokea na nikamueleza lengo langu kubwa nahitaji kuwa nae Demu...
  5. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Unaonaje uzi mpya wa Simba, Yanga na Azam wa msimu wa 2026/27?

    Azam kidogo wamejitahidi Simba jezi nzuri ni ile nyekundu lakini hii nyeupe na bluu sio tu wameboronga ila wamepigwa Yanga jezi zake kiukweli sijazielewa
  6. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Unaonaje uzi mpya wa Simba, Yanga na Azam wa msimu wa 2026/27?

    Azam kidogo wamejitahidi Simba jezi nzuri ni ile nyekundu lakini hii nyeupe na bluu sio tu wameboronga ila wamepigwa Yanga jezi zake kiukweli sijazielewa
  7. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mke wangu anaona aibu akivua nguo mbele yangu

    Inawezekana labda bado hajakuzoea mpe muda atazoea taratibu Nje ya mada Sijui hata kwa nin niko hivi Ila kiukweli nikiona mtoto wa kiume anatumia maneno kama ,jamani, mie, sijui huwa namuonaje
  8. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mke wangu anaona aibu akivua nguo mbele yangu

    Inawezekana labda bado hajakuzoea mpe muda atazoea taratibu Nje ya mada Sijui hata kwa nin niko hivi Ila kiukweli nikiona mtoto wa kiume anatumia maneno kama ,jamani, mie, sijui huwa namuonaje
  9. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Katika kufulia kwako,umewahi kuuza mali yako gani ya thamani kwa bei ya hasara mpaka leo ukikumbuka unatamani kulia?

    Kipindi flani nilikuwa napiga kazi sehemu na nikapata pata vihela hela sasa nikaja nikasafiri nikakaa kama miezi miwili ile kurudi nakuta nafasi yangu ishachukuliwa na mtu mwingine basi nikaanza kuhustle kutafuta kazi kazi ya kazi ya kutafuta kazi ikawa kazi kweli kweli ikafika hatua naamka...
  10. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Wakuu nahitaji msaada wenu kwa jambo hili...?

    Hata mimi nilikuwa kama wewe yaani hakuna kitu nilikuwa naona aibu kama kumtongoza mwanamke Ilifika hatua mpaka mama mdogo akaanza kuhoji hivi huyu anaweza kutongoza kwel bas mimi ndo woga ukawa unazidi Ebhanae siku zikaenda sasa pale mtaani kulikuwa na kadem pisi ya kwenda kila wanaume...
  11. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Wenzangu, mnawezaje kuishi na wanawake wababe?

    Hapo kwenye lugha za kiume wala siyo tatizo sana Tatizo linakuja hapo kwenye kuwa anatishia kila muda mara tuachane ndo najiona naelekea kuchoka
  12. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Kuishi nchi ya ugenini kunaniweka matatani

    Huo mwandiko sasa unachefua macho Anyway alieelewa atueleweshe
  13. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Hizi ni bei za mahari ambapo ukiambiwa zaidi ya hizi kwa kila sifa umeliwa uwe na hela au hauna hela

    Hayanaga muongozo wewe ukiwa nayo toa tu, ukipeleza uza hata kiwanja cha urithi
  14. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Ni kipaji gani ambacho unadhani kama ungepewa sapoti ungefika mbali?

    Ila wewe akili zako unazijua mwenyewe
Back
Top Bottom