Wakuu kuna mjadala nimeukuta facebook sasa nilitaka kujua ukweli wa jambo ukoje
Maana inasemekana wao ili wakupe kazi hawahitaji nida,passport wala kadi ya mpiga kura isipokuwa nguvu zako tu ila mziki wake utapenda we na roho yako
Picha linaanza
.Unakimbia na roba la kilo 50...
Kwa vile umeamua kunikumbusha basi haina shida lakini binafsi sitaki hata kukumbuka
Mara ya mwisho kugusa pombe ilikuwa ni mwaka 2015 sasa ilikuwa hivi
Jamaa angu alikuwa na kasherehe kakiaina basi akanialika kwa kuwa ratiba yangu
haikuwa ngumu sana na sikuwa nimebanana sana ikabidi...
Salaam. wakuu kina kitu kidogo nilitaka walau kwenu nyinyi mtazamo wenu je hakitoleta shida huko mbeleni
Inshu nzima iko hivi . kuna demu flani nilikutana nae maeneo flani demu kiukweli nikatokea kumuelewa
Basi nikaamua kumtokea na nikamueleza lengo langu kubwa nahitaji kuwa nae
Demu...
Azam kidogo wamejitahidi
Simba jezi nzuri ni ile nyekundu lakini hii nyeupe na bluu sio tu wameboronga ila wamepigwa
Yanga jezi zake kiukweli sijazielewa
Azam kidogo wamejitahidi
Simba jezi nzuri ni ile nyekundu lakini hii nyeupe na bluu sio tu wameboronga ila wamepigwa
Yanga jezi zake kiukweli sijazielewa
Inawezekana labda bado hajakuzoea mpe muda atazoea taratibu
Nje ya mada
Sijui hata kwa nin niko hivi
Ila kiukweli nikiona mtoto wa kiume anatumia maneno kama ,jamani, mie, sijui huwa namuonaje
Inawezekana labda bado hajakuzoea mpe muda atazoea taratibu
Nje ya mada
Sijui hata kwa nin niko hivi
Ila kiukweli nikiona mtoto wa kiume anatumia maneno kama ,jamani, mie, sijui huwa namuonaje
Kipindi flani nilikuwa napiga kazi sehemu na nikapata pata vihela hela sasa nikaja nikasafiri nikakaa kama miezi miwili ile kurudi nakuta nafasi yangu ishachukuliwa na mtu mwingine basi nikaanza kuhustle kutafuta kazi
kazi ya kazi ya kutafuta kazi ikawa kazi kweli kweli
ikafika hatua naamka...
Hata mimi nilikuwa kama wewe yaani hakuna kitu nilikuwa naona aibu kama kumtongoza mwanamke
Ilifika hatua mpaka mama mdogo akaanza kuhoji hivi huyu anaweza kutongoza kwel bas mimi ndo woga ukawa unazidi
Ebhanae siku zikaenda
sasa pale mtaani kulikuwa na kadem pisi ya kwenda kila wanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.