Hata majalalani paka wamepungua masalia ya vi parcel vya nyama choma vimepungua kama sio hakuna. [emoji23][emoji23]
Michemsho ya kuku No !! Watu chai harage huu mwezi wa 4 sasa. [emoji23][emoji23]
Uelewa wa Pesa za Bank as in Finance Management ?? (Well YES)
Hzo imani potofu za hela za mazingaombwe sijui nn. Well Big NO !!
Ingekuwa hvyo magicians wangekua wanakimbizana na Bill Gates kwa mafuba.
Habari zenu wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu, nimewaza nifanye biashara ya urembo i.e. mikufu, hereni, shanga, other wearables et al za kina dada kwa jumla na reja reja maeneo ya Kkoo.
Naombeni ushauri wenu wapi naweza pata mzigo mzuri kwa bei nafuu ili nipate faida nzuri nikiuza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.