Recent content by Gluton

  1. G

    TANZIA: Mama mzazi wa Mshana Jr amefariki dunia

    Rest in Eternal Peace Mama Mshana Jr.
  2. G

    Hali ya kibiashara hairidhishi, biashara zaendelea kufungwa!

    Hata majalalani paka wamepungua masalia ya vi parcel vya nyama choma vimepungua kama sio hakuna. [emoji23][emoji23] Michemsho ya kuku No !! Watu chai harage huu mwezi wa 4 sasa. [emoji23][emoji23]
  3. G

    Ulinzi wa fedha kwa mabenki upoje? Mbona chumaulete hawaendi kuiba huko?

    Uelewa wa Pesa za Bank as in Finance Management ?? (Well YES) Hzo imani potofu za hela za mazingaombwe sijui nn. Well Big NO !! Ingekuwa hvyo magicians wangekua wanakimbizana na Bill Gates kwa mafuba.
  4. G

    Ulinzi wa fedha kwa mabenki upoje? Mbona chumaulete hawaendi kuiba huko?

    Kabisa Mkuu. Mimi nimeshategewa sana mitego ya kipuuzi kama hyo na sijapoteza hata Tsh 100 yangu.
  5. G

    Ulinzi wa fedha kwa mabenki upoje? Mbona chumaulete hawaendi kuiba huko?

    Sio bank tu, Mimi mwenyewe siibiwi kiboya boya hvyo. Chuma Ulete, What rubbish is that ??
  6. G

    JamiiForums ina mambo

    JF kila mtu ni " Super Mogul " [emoji23][emoji23]
  7. G

    JamiiForums ina mambo

    Pale unapotongoza mchepuko JF bila kujua huyo huyo ndio mkeo wa ndoa nyumbani. [emoji23][emoji23][emoji23]
  8. G

    Kuna mambo lazima ukubali yalikupita.

    Hakuna kitu raha duniani kama kugegeda dem aliyekuzidi umri (atleast 5 - 7 years). Daaah !! [emoji1]
  9. G

    Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

    Habari zenu wakuu, Husika na kichwa cha habari hapo juu, nimewaza nifanye biashara ya urembo i.e. mikufu, hereni, shanga, other wearables et al za kina dada kwa jumla na reja reja maeneo ya Kkoo. Naombeni ushauri wenu wapi naweza pata mzigo mzuri kwa bei nafuu ili nipate faida nzuri nikiuza...
  10. G

    Ugomvi ndani ya nyumba unaweza kufanya ujinyonge?

    Tema mate chini, yasikie kwa watu hvyo hvyo. Nlishaapa sitakaa nimpende mwanamke yeyote yule 100 / 100.
  11. G

    WWE John Cena autwaa mkanda wa WWE Championship

    Ivi awamu hii bado kuna watu wanafatiliaga haya mambo ?? [emoji23][emoji23] Im not judging though kila mtu ana starehe yake.
  12. G

    X wako anaporudi huwa kasahau nini hasa?

    I feel u beib. Me too
Back
Top Bottom