Mazezele
Member
- Dec 30, 2012
- 28
- 7
Ni pale ambapo ndani ya siku mbili nimeshuhudia wanaume wawili wakijinyonga, WA KWANZA mfanya biashara na wa pili Mwl, hawa wote inasadikika ni kitokuwepo kwa uelewano na wake zao.
Sasa swali ni kweli kwamba wanaume tumeshindwa kumudu changamoto za Maisha hasa pale panapotokea ugomvi wa mke na mme? MAREHEMU WOTE wapo motuari ya Wilaya, mmoja tutamzika hapa na mwingine tunamsafirisha.
RIP Wananzengo.
Sasa swali ni kweli kwamba wanaume tumeshindwa kumudu changamoto za Maisha hasa pale panapotokea ugomvi wa mke na mme? MAREHEMU WOTE wapo motuari ya Wilaya, mmoja tutamzika hapa na mwingine tunamsafirisha.
RIP Wananzengo.