Habari wadau!
husika na kichwa cha habari hp juu,ni post ipi na ya nani ilikugusa kihisia iwe furaha au huzuni,na kwa kigezo kipi utaendelea kuikumbuka?
eeeeeh we ndugu mbona unapenda kushushua shua wadau wenzako?na c mara1 kuliona hili jambo kutuc au kuumbua comment na post za wengine?
uliza basi jamani kwa nn mme like?watakupa sababu,kwa upeo wk utaic wame like kifo,ila huenda wame like kufkishiwa habari,
JIREKEBISHE BWANA WE ARE DE SAME...
zinaa mmeiendekeza sana vijana,na ngono ndo mnaona ujanja,nenda ukakanyage miwaya,
kama humuogopi mungu alokataza zinaa uogope ukimwi.
KUMBUKA IPO SIKU UTAISHI CHINI YA ARDHI BL SOLAR POWER WALA KIYOYOZI,JOTO NA ADHABU KAMA UTAKUA MTENDA MAOVU.
Pole mkuu,ushauri wangu kwako kuwa hamna tatizo jipya ktk hii dunia yaliwakuta wengi hivo basi usifanye maamuzi ukiwa na hasira hayatakua sahihi,na wazazi wako hawawezi kukupotosha na siku zote wanakutakia mema fata ushauri wa wazazi,huku ukiwaurumia watoto.
Kufanya kosa si kosa bali kurudia...
Nahisi mna nifananisha na GLORYTOGOD,Nimegundua jana km kuna m2 mwengine anatumia identity kama yangu dat y inaleta confusion.
by de wy msaada kwa anaejua hiyo dawa ya kuondosha mlio huo skioni.
umeona eeh!washapigwa mihuri toka 2mboni,
alafu nimegundua k2 kuna watu huwa wanakosa chakuandika khy anabudi post akichangiwa comment nyingi roho burudani,wa2 kama hawa wadau 2wapotezee2.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.