Tafadhari!!Naombeni Tenda/Kibarua!

Tafadhari!!Naombeni Tenda/Kibarua!

Majigo

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
5,519
Reaction score
1,831
Kuliko Kuwa Vijiweni na Kujiingiza ktk mambo yasiyofaa ktk jamii
Jamani kama kuna kazi yoyote iliyo Harali ktk jamii, Tafadhari Naombeni Nafasi
Nipo Dar, Ni kijana mwenye elimu ya form 4 (nina Malengo ya kujiendeleza endapo nitapata pesa za kuniwezesha kulipia ada)
Mbali na hapo pia nina ujuzi wa komputa hasa basic na adv, vilevile nina uzoefu wa masuala ya uuzaji bidhaa madukani (miaka 2)
Natumaini ushauri au majibu ya busara toka kwenu Ma Great Thinker kwani niko ktk harakati za utafutaji hivyo Msinibeze jamani, siibi cha mtu!!
Ahsanteni!
 
Nikushtue ili iweje ndugu yangu JIPU?
Lakini bado sijapata!

ndugu yangu BUA ninataka nikufanyie umafia napretend wewe ni mdogo wangu, tunaundugu hata kama ni wa kuunga kisha naongea na mshkaji akupe kazi ofcn kwake ila ni pm majina yakoa ya ukweli na details ike unaisha wapi na form four ulipata nn na toka umalize umekuwa ukifanya nn na pia ntumie cv yako sawa??
 
Last edited by a moderator:
ndugu yangu BUA ninataka nikufanyie umafia napretend wewe ni mdogo wangu, tunaundugu hata kama ni wa kuunga kisha naongea na mshkaji akupe kazi ofcn kwake ila ni pm majina yakoa ya ukweli na details ike unaisha wapi na form four ulipata nn na toka umalize umekuwa ukifanya nn na pia ntumie cv yako sawa??

Sawa Mkuu wangu Nitafanya Kama Ulivyoniambia, Nashukuru Sana Kwa Hekima yako!!
 
Last edited by a moderator:
ndugu yangu BUA ninataka nikufanyie umafia napretend wewe ni mdogo wangu, tunaundugu hata kama ni wa kuunga kisha naongea na mshkaji akupe kazi ofcn kwake ila ni pm majina yakoa ya ukweli na details ike unaisha wapi na form four ulipata nn na toka umalize umekuwa ukifanya nn na pia ntumie cv yako sawa??

Safi sana
 
Last edited by a moderator:
Jamani Mambo Bado Magumu
Umri Nao Unaenda na Nikilifikiria hili
Nakosa Amani Na Hata Kuwaza Mambo Mabaya
Tupeane Nafasi Wakuu!
 
wakuu bado sijapata kazi!

Kaka, hebu kuwa mstahimilivu. Thread umeandika wiki iliyopita, dada gfsonwin ameahidi kujaribu kukusaidia. Kazi sio za kuokota kirahisi kama enzi za nyerere. Na huu ni msimu wa sikukuu. Usipokuwa mstaarabu hautasaidiwa. Na inaweza kuchukua hata miezi 6 hadi afanikiwe kukusaidia. Endelea kuomba Mungu utatoka tu, na umuombee gfsonwin apate kibali huko kwa wenye ofisi zao.
 
Last edited by a moderator:
Kaka, hebu kuwa mstahimilivu. Thread umeandika wiki iliyopita, dada gfsonwin ameahidi kujaribu kukusaidia. Kazi sio za kuokota kirahisi kama enzi za nyerere. Na huu ni msimu wa sikukuu. Usipokuwa mstaarabu hautasaidiwa. Na inaweza kuchukua hata miezi 6 hadi afanikiwe kukusaidia. Endelea kuomba Mungu utatoka tu, na umuombee gfsonwin apate kibali huko kwa wenye ofisi zao.

Sawa Mkuu Wangu King'asti nimekuelewa...samahani kama nimekukwaza, nilikuwa natoa ukumbusho tu!
Ahsante kwa pendekezo lako!
 
Last edited by a moderator:
vipi uko tayari kujiajiri nikupe mchongo?

Niko Tayari Hata Sasa Mkuu Wangu, Ila Namna Ya Kuupata Huo Mtaji Wa Kuweza Kunitoa Hapa Nilipo, Ndio Tatizo!

Nipe Nipe Mchongo Mkuu Wangu Mimi Mwenyewe Mzee Wa Kazi, Utashangaa Na Roho Yako!
Umri Unaniacha Mkuu!
 
Niko Tayari Hata Sasa Mkuu Wangu, Ila Namna Ya Kuupata Huo Mtaji Wa Kuweza Kunitoa Hapa Nilipo, Ndio Tatizo!

Nipe Nipe Mchongo Mkuu Wangu Mimi Mwenyewe Mzee Wa Kazi, Utashangaa Na Roho Yako!
Umri Unaniacha Mkuu!

embu ni pm
 
hujui kufanikiwa kwako ndo kukomboa wengne

Ndugu Yangu JIPU
Tulia Na Umuombe Mola Wako, Kama Kaka KING'ASTI Alivyonishauri!
Ingawa Umri Unaenda Lakini Iko Siku mambo Yatajipa
Ila Sijui Itakuwaje Nikifikisha Miaka 26 na Huku Sina Muelekeo Wowote, itakuwa Ndo Ishatoka Hivyo Maana Kwa Maisha Ya Sasa Kundi La Vikongwe Utakuwa Ndo Unalinyemelea!
 
Back
Top Bottom