Kuna nini kwa demu huyu???

Kuna nini kwa demu huyu???

hahahahaha najua we ndo mwanzilishi wa hili neno,ila vijana bana wanapenda kugegeda tu....nadhani kukosa kazi za kufanya nako kunachangia
ah naona umeanza nawe kutumia neno kugegedana hahaha
kweli kabisa vijana wanataka kugegedana tuuu.
sasa huyu atakuwa hajamfeel kivile ndio maana anasita...she is not ur type physically
 
nenda wewe kwanza kapimwe vvu, baada ya hapo utajua cha kufanya!
 
hahahahaha najua we ndo mwanzilishi wa hili neno,ila vijana bana wanapenda kugegeda tu....nadhani kukosa kazi za kufanya nako kunachangia

hahaha wewe wacha zako kukosa kazi ndio kunachangia kugegedana!!??? toka lini? bila kazi mwanaume usahau kabisa kumgegeda mwanamke....papuchi zipo on sale bwana hii story ya love ndio upate papuchi only exists as a de facto mammy!!!
 
weeh wapiga kazi si wagegedaji ka wewe....mbona papuchi za frii ziko kibao tu waulize beki 3 na shamba boyz....
hahaha wewe wacha zako kukosa kazi ndio kunachangia kugegedana!!??? toka lini? bila kazi mwanaume usahau kabisa kumgegeda mwanamke....papuchi zipo on sale bwana hii story ya love ndio upate papuchi only exists as a de facto mammy!!!
 
weeh wapiga kazi si wagegedaji ka wewe....mbona papuchi za frii ziko kibao tu waulize beki 3 na shamba boyz....

hahahah wewe unajua mechi ya shamba boi au watania...ebu nenda kaonje uje uniambie game ilikuwaje
 
mi mwenyewe wangu mmoja nilisomaga naye miaka ya 80! kaniomba nika-mshave kwake!

cacico hii tabia ya kuja kuanikana humu imeanza lini tena mamito....halafu uwahi bana mi nasubiri hiyo shave kwa hamu.
 
Last edited by a moderator:
vijana wa sikuhizi bana
wakikutana wanawaza kugegedana tu....sasa kwa mwendo huo si utagegeda
wengi ulosoma nao?? funga zipu kijana.....uk hauna dawa!!!

zinaa mmeiendekeza sana vijana,na ngono ndo mnaona ujanja,nenda ukakanyage miwaya,
kama humuogopi mungu alokataza zinaa uogope ukimwi.
KUMBUKA IPO SIKU UTAISHI CHINI YA ARDHI BL SOLAR POWER WALA KIYOYOZI,JOTO NA ADHABU KAMA UTAKUA MTENDA MAOVU.
 
thubutu....watu twala kwa malengo babu!!! mie nionje kwa shamba boi na beki 3 aonje wapi???
hahahah wewe unajua mechi ya shamba boi au watania...ebu nenda kaonje uje uniambie game ilikuwaje
 
Nilisoma naye O'level miaka ya 90; sasa nimekutana naye ukubwani anataka tuka-du - lakini namwogopa, kila tukipanga kuonana najenga sababu za kutoonana naye faragha. Sijui ni kwa nini moyo wangu unamugwaya. Nimueleze wazi kuwa siko tayari au niendelee kumpotezea kiaina.

Dah... Mtihani huo tena wa hesabu..
Nimecheck cmmnts nyingi ziko -ve... Y..?? Worried about the status...coz of AIDS..?? Sehem ngapi umezikonye..?
Usiweweseke...kuna watu wanazitafuta hizo.. Kama ipo ipo tu... Utaruka hapo utateleza kwngne...
® Nimeamini huwezi kubahatika mpaka uwe na bahati...®
 
vijana wa sikuhizi bana wakikutana wanawaza kugegedana tu....sasa kwa mwendo huo si utagegeda wengi ulosoma nao?? funga zipu kijana.....uk hauna dawa!!!
kila kizazi na zama zake.
 
mi mwenyewe wangu mmoja nilisomaga naye miaka ya 80! kaniomba nika-mshave kwake!
umenifurahisha sana cielo.nina kaswali kadogo kumshevu nywele au mambuzi japo mambuzi nayo ni..........!
 
Moyo husukuma damu..hauna macho

Asante Mandela kwa darasa,,lakini Macho ya moyo ninayoongelea hapa si ya kisayansi.Bali ni tahadhari ambazo humpata mtu awapo mbele ya tatizo,uamuzi,na hatari.Kila mwanadamu ameumbwa na hisia fulani ambazo wachache wanaojua kuzitumia hujiepusha na matatizo yasiyo ya lazima.Tahadhari hizo ni muongozo mama (tacit understanding) ambao wataalam wa fasihi,huona kuwa ni moyo.KAMA HUAMINI KTK UAFRIKA basi hata huko uzunguni wanakoamini wengi wana methali isemayo
THE HEART SEES FURTHER THAN THE EYE
 
nAWASHUKURUNI KWA COMMENTS ZENU; ILA BADO ANASISITIZA J.PILI TUKADU!!!!
 
duh! hi dunia zaid ya kurushana maji hakuna kinachowazwa zaid. lord have mercy lol!

Nakwambia hakuna wanachowaza...wakubwa kwa wadogo, wake kwa waume.......Kazi ni kuchapana tu, kupakana chokaa....(Yaarabi Mungu atusameheee!!!!!)
 
Nilisoma naye O'level miaka ya 90; sasa nimekutana naye ukubwani anataka tuka-du - lakini namwogopa, kila tukipanga kuonana najenga sababu za kutoonana naye faragha. Sijui ni kwa nini moyo wangu unamugwaya. Nimueleze wazi kuwa siko tayari au niendelee kumpotezea kiaina.

dah women nowadays are so cheap mpotezee kama vp
 
dah women nowadays are so cheap mpotezee kama vp

Mbona wengi mnataka nimpotezee? Yeye ni m2 mzima kama mimi; hakuna asichokijua nami hakuna nisichokijua, kwa nini nisimggonge hiyo mbichi yake!???
 
Back
Top Bottom