Faida 10 za kupiga punyeto!!

Faida 10 za kupiga punyeto!!

ikiwa mapenzi ni hisia huwezi fanya ngono na mke me ambaye huna hisia naye ukapata raha ya kile kitendo.najiuliza kwa hawa wa mpenz sabuni na matango wao hisia zao wanazipata wapi mpaka kufikia kilele cha furaha zao?
 
Bila Shaka Mko poa!!
Jamani lazima tukubali kuwa sekta ya ngono sasa haikamatiki kwa mabalaa mfano kusalitiana,kufirisika ,kondom feki n.k pia ukiuvaa kuna ARV Feki, Kutokana na mabalaa yanayoikumba sekta ya ngono Kwa kipindi hiki nimeona kuna umuhimu wa kukumbushana faida za NYETO...Bila Shaka wazee Wa CHAWAPUTA Wananipata vizuri.

FAIDA ZA PUNYETO
- inakuepusha dhidi ya presha za mapenzi!
- Inakufanya ukidhi haja zako!
- inaepusha kupata ukimwi na magonjwa ya zinaa 100%
- inaleta maendeleo indirect,kwani hutapoteza pesa!
- inakupa Uhuru ktk Kukidhi haja zako!
- kutokana na ubize, inakuepusha kuwaza mambo mabaya!
- inakuepusha dhidi ya Mimba zisizotarajiwa
- Indirect Inapumguza watoto wa mitaani na umaskini kwa ujumla!
- inakuepusha dhidi ya Mafumanizi na maumivu ya mapenzi!
- Inakupa raha!


Hizo ni moja ya faida nyingi za punyeto, Hivyo Ni wakati wako wewe kama kijana kuchagua heri au balaa!

Si muda mrefu utaenda kununua madoli kama haya:
**** Me Silly 2 Mega Masturbator, RD175-00
 
ikiwa mapenzi ni hisia huwezi fanya ngono na mke me ambaye huna hisia naye ukapata raha ya kile kitendo.najiuliza kwa hawa wa mpenz sabuni na matango wao hisia zao wanazipata wapi mpaka kufikia kilele cha furaha zao?

Mkuu jaribu uone raha yake,hisia zinajinoki zenyewe!
 
Hivi wanawake sio memba humo? Eti Kongosho?

Mshaurini Mpole sana ajiunge kwenye chama chenu ili asihamie kwa wanaume wenzake!
 
Last edited by a moderator:
Duh!Wanawake watapewa talaka sana kwa mtindo huu!
 
Kuna wadogo zetu wanapita humu,tusiwapotoshe .Punyeto ina madhara mengi sana kama unapiga punyeto au unapiga nyeto take a longtime to look at yourself and this sick behavior.Ushauri wangu google effects of masturbation then decide for yourself
 
We endelea na hizo faida zako lakini ujue hii kitu ya kijinga sana,muda wote ukitembea hadharani lazima uufiche ule mkono unaoutumia,maana ukiuona tu shafti inasimama,us***ng full!!!
 
MziziMkavu sijawahi kupata ushahidi wa kitabibu kama hii makitu inaondoa au kupunguza nguvu za kiume,labda wewe ndo uwe wa kwanza kuthibitisha hapa.
"
Ninachojua puchu ina madhara ya kisaikolojia tu.
"
Na kama inasababisha upungufu wa nguvu za kiume ni kivipi?
"
Na mtu mpaka apate hayo madhara,ni mpaka afanye hivyo kwa muda gani?
"
Kama haina madhara au inayo ni bora yakatolewa maelezo ya kina!
 
Last edited by a moderator:
Bila Shaka Mko poa!!
Jamani lazima tukubali kuwa sekta ya ngono sasa haikamatiki kwa mabalaa mfano kusalitiana,kufirisika ,kondom feki n.k pia ukiuvaa kuna ARV Feki, Kutokana na mabalaa yanayoikumba sekta ya ngono Kwa kipindi hiki nimeona kuna umuhimu wa kukumbushana faida za NYETO...Bila Shaka wazee Wa CHAWAPUTA Wananipata vizuri.

FAIDA ZA PUNYETO
- inakuepusha dhidi ya presha za mapenzi!
- Inakufanya ukidhi haja zako!
- inaepusha kupata ukimwi na magonjwa ya zinaa 100%
- inaleta maendeleo indirect,kwani hutapoteza pesa!
- inakupa Uhuru ktk Kukidhi haja zako!
- kutokana na ubize, inakuepusha kuwaza mambo mabaya!
- inakuepusha dhidi ya Mimba zisizotarajiwa
- Indirect Inapumguza watoto wa mitaani na umaskini kwa ujumla!
- inakuepusha dhidi ya Mafumanizi na maumivu ya mapenzi!
- Inakupa raha!


Hizo ni moja ya faida nyingi za punyeto, Hivyo Ni wakati wako wewe kama kijana kuchagua heri au balaa!

madhara 10 ya punyeto unayajua?
 
Back
Top Bottom