Recent content by Glagego

  1. G

    Ivan Ssemwanga anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato?

    Ushawahi ona bakhresa anapiga picha na pesa? Na social media zipo na hats anamiliki media zake?
  2. G

    Nimeumizwa sana na hii kauli...

    Kama kujitawala wenyewe tunashindwa, maliasili kuzisimamia tunashindwa hiyo sayansi na teknolojia tutaweza wapi?? Waafrica ni wapumbavu zaidi ya unavyofikilia.endelea kukataa
  3. G

    Je, waweza ishi na mpenzi wako kama mke na mume pasipo kujulikana na ndugu zake?

    Usiishi naye,kama umeshindwa kutatua tatizo dogo kama hili, mengine hauta weza pole sana
  4. G

    Sirro: Jambazi aliyevamia gari ya fedha Kurasini, alikufa akisema Allah U Akbar

    Idadi kubwa ya majambazi ni hawa hawa team allah akbar
  5. G

    Sirro: Jambazi aliyevamia gari ya fedha Kurasini, alikufa akisema Allah U Akbar

    Idadi kubwa ya majambazi ni hawa hawa team allah akbar
  6. G

    Rais Magufuli atembelea TBC. Mkataba wake na Startimes kuchunguzwa, Wafanyakazi kulipwa Malimbikizo

    TBC kama zilivyo taasisi za serikali nyingine kiutendaji ziko hovyo hovyo.
  7. G

    Malima akamatwe (obstruction of justice)

    Siku zote ni bora kutumia akili zaidi kuliko nguvu
  8. G

    Hii tabia tuache jamani, 'ni kabila gani'?

    Ukweli unatabia mbili: 1 unauma 2.Haufichiki Hakuana aliyekamilika chini ya jua, kubalini mapungufu yenu kama ili kutafuta ufumbuzi!!!
  9. G

    Hii tabia tuache jamani, 'ni kabila gani'?

    Haya makabila mengine wako vizuri sana kimapenzi, wengi wako hot. Wachaga wazuri machoni, wengi wa baridi
  10. G

    Usikose kifaa hiki kwenye gari lako

    Naweza kujua bei zenu zikoje mkuu?
  11. G

    Haijawahi tokea, Mwana FA na AY kulipwa bil 2 tshs na Tigo

    Kwa sbb hao wote wasanii shule imo!
  12. G

    Tetesi: Nini kinaendelea kwa familia ya Diamond 'Dangote'?

    Mungu ana mambo mengi ya kufanya. Anyway kwa niaba ya mungu nasema hawata achana
Back
Top Bottom