Nimeumizwa sana na hii kauli...

Nimeumizwa sana na hii kauli...

Karne ya 14 Afrika na Europe tulikuwa na teknolojia sawa soma kitabu cha Walter Rodney. Wazungu wako pale waliko kwa sababu wa wizi wa maliasili zetu.

Tuliwakalibisha kwa upendo (wapelelezi, wamisionari, wafanyabiashara) wakachukua Almasi na dhahabu zetu mwisho wa siku wakatajirika waka invest katika sayansi na tecnolojia wakagundua siraha kali wakaja wakatutawala na kutunyonya zaidi.
Sasa hauoni kama hizo njia za usafiri walizozitumia tu kufika huku walikuwa wamesha tuzidi? Lakin heb jarib kukwepa kutumia kitu kilichogunduliwa na mzungu hata kwa siku moja kama utaweza we fikiria mtu yupo U.S.A ww upo huku USHENZINI ila mnawasiliana vizuri na mnaonana bila shida.... Sasa hadi hapo wa afrika tujilinganishe na teknolojia gani ya ki afrika unayoweza wasiliana hivo.

Samsung note7
 
Eti "mungu alimuumba mzungu kwa mfano wake na mwafrika ni kivuli cha mzungu"

Hii ni kwa sababu ya mzungu kuwa na akili ya kugundua vitu vingi na mwafrika kuwa anaiga tu kutoka kwake pia na kutumia teknolojia ya mzungu huku yeye akiwa bado yuko nyuma.

Binafsi nimeumizwa sana na hii kauli ya kishenzi inayodharirisha uafrika wetu na damaduni zetu walizo ziita tamaduni za kishenzi

Hivi kuna sababu ya waafrika kuwakubali wazungu kuwa eti bila wao sisi tusingefikia hatua hizi tulizo nazo kwa sasa za maendeleo ya kiteknolojia na nyanja nyingine za kiuchumi, siasa na kijamii?
Amayesema hivyo, yupo sahihi kabisa. Kama huamini, angalia comments zetu humu
 
Karne ya 14 Afrika na Europe tulikuwa na teknolojia sawa soma kitabu cha Walter Rodney. Wazungu wako pale waliko kwa sababu wa wizi wa maliasili zetu.

Tuliwakalibisha kwa upendo (wapelelezi, wamisionari, wafanyabiashara) wakachukua Almasi na dhahabu zetu mwisho wa siku wakatajirika waka invest katika sayansi na tecnolojia wakagundua siraha kali wakaja wakatutawala na kutunyonya zaidi.
Siyo kweli Ethiopia Na Liberia waliiba nini? Mbona Maskini hadi Leo? Kule Amazon Na Papua Guinea waliiba nini mbona hadi Leo wako Uchi? Kubali tu, Wazungu ni tofauti kabisa na Weusi!!!.
 
Eti "mungu alimuumba mzungu kwa mfano wake na mwafrika ni kivuli cha mzungu"

Hii ni kwa sababu ya mzungu kuwa na akili ya kugundua vitu vingi na mwafrika kuwa anaiga tu kutoka kwake pia na kutumia teknolojia ya mzungu huku yeye akiwa bado yuko nyuma.

Binafsi nimeumizwa sana na hii kauli ya kishenzi inayodharirisha uafrika wetu na damaduni zetu walizo ziita tamaduni za kishenzi

Hivi kuna sababu ya waafrika kuwakubali wazungu kuwa eti bila wao sisi tusingefikia hatua hizi tulizo nazo kwa sasa za maendeleo ya kiteknolojia na nyanja nyingine za kiuchumi, siasa na kijamii?
Hebu angalia na tafakari kuhusu hicho kifaa ulichotumia kuposti uzi wako, hapo ndio utajua mzungu ni nani katika hii dunia
 
Hata mm naunga mkono wazungu ni daraja LA kwanza wewe lia chukia lkn ukweli mzungu ni best ktk ulimwengu huu .ndugu hebu angalia maisha yt waafrika yalivyo ni tatizo .hebu angalia mambo wanayofanya viongozi wetu angalia km Mugabe na viongozi wengi wa kiafrika wanavyoongoza nchi zao ni tatizo.HB ona mfano wa ajari ya arusha ona wale wazungu walivyosaidia pia angalia yule kiongozi was mkoa mambo anayoyafanya .HV kweli rambirambi zinaleta ugomvi mpk watu wanawekwa ndani?HV unachukua rambirambi unajengea nyumba za hospital je hiyo ajali isingetokea wangepata wapi hela ya kujenga hy hospital?kwa mifano by michache hakika mzungu in bora tens bora kbsaaaa.ukweli unauma lkn ukweli unasimama ktk kweli
Umeongea ukweli mpaka nimechukia, watu wanatoa pole wanalala mahabusu?!
Mi nimwafrika ila namkubali mzungu. Kama gambo ni binadamu Mimi ni sokwe hakika.
 
Amayesema hivyo, yupo sahihi kabisa. Kama huamini, angalia comments zetu humu
Na wewe unaamini katika mungu na ndiyo maana unakubaliana kuwa Mungu aliumba mzungu kwa mfano wake?
 
Umeongea ukweli mpaka nimechukia, watu wanatoa pole wanalala mahabusu?!
Mi nimwafrika ila namkubali mzungu. Kama gambo ni binadamu Mimi ni sokwe hakika.
Nahakika kwa anachokifanya mmarekani kwa NK pia kingeonekana ni kitendo cha kijinga kama kingefanywa na mtu mweusi.

Leo mzungu(kiumbe bora) anataka tukubali ndoa za jinsia moja ila watu weusi(viumbe duni) wanasita sita,ila hatuthubutu kusema ni ujinga wa wazungu kulazimisha wengine pia ndoa za jinsia.
 
una moyo mwepesi sana,yani kauli tu...maneno tu...ndo yakuumize kiasi hicho...
do not take life too serious man...
 
Hebu angalia na tafakari kuhusu hicho kifaa ulichotumia kuposti uzi wako, hapo ndio utajua mzungu ni nani katika hii dunia
Sasa hapo ubora wa mzungu ni upi kwa kutengeneza kifaa tunachotumia kiasi cha kuona mzungu ni kiumbe bora? au tunaaminishwa kuwa wazungu ni viumbe bora kwa sababu ya vifaa kama hivi?
 
Iko hivi: Kuna wakati dunia ilibaki na watu 8 tu; hii ni baada ya gharika ambapo Nuhu mcha Mungu na familia yake ndio waliokoka na gharika kwa njia ya safina.

Watu hao nane (soma 1PETRO 3:20) waliookoka ni watoto wake watatu wa kiume pamoja na wake zao. Iko siku Nuhu alilewa akakaa uchi ambapo mwanae aitwaye Hamu (Kanaani) aliutazama uchi wa haba yake na hakuufunika. Ndugu zake wawili walichukua nguo wakamwendea baba yao kinyumenyume na kumfunika baba yao (MWANZO 9:23)

Nuhu alipozinduka toka kwenye hali ya ulevi alitambua yote yaliyoendelea. Ndipo akaanza kutamka baraka kwa wale watoto wake waliomfunika uchi wake na kutamka laana kwa yule mtoto wake ambaye hakumfunika (soma MWANZO 9:24-27). Huyu aliyelaaniwa aliamriwa kuelekea kusini ambapo alifika eneo aliloiita Kushi (kwa sasa ni Ethiopia) Huyu aliyelaaniwa ndiye mwanzilishi wa kizazi cha watu wenye rangi ya kikahawia inayoelekea kuwa nyeusi (soma YEREMIA 13:23)

Hivyo kizazi hiki cha huyo jamaa ndicho knachoelea katika UJINGA, MARADHI na UMASIKINI. Nchi hizi zina rasilimali nyingi lakini haziwasaidii kwa sababu ya laana!
 
Kama kujitawala wenyewe tunashindwa, maliasili kuzisimamia tunashindwa hiyo sayansi na teknolojia tutaweza wapi?? Waafrica ni wapumbavu zaidi ya unavyofikilia.endelea kukataa
Labda ungesema tumeshindwa kujitawala kama wanavyojitawala wazungu pengine ningekuelewa,tatizo ni kutaka kuwa kama wazungu.
 
Wengine wanafananisha na gari... Eti Mzungu ni injini, muhindi ni bodi, mwafrika ni tairi!
 
Bado wazungu wana ubaguzi sana kwa waafrika. Kuna video nimeona YouTube ....

Watu walitaka kuthibitisha ubaguzi upo..
Wakawaweka vjana wawili (mmoja mzungu mmoja ni black {mwafrika}) maeneo mawili tofauti... Wakiwa na mabango "nina njaa naomba nisaidie" mwafrika hakupewa kitu ndani ya dakka tano ila yule mzungu dakika moja tu kapewa hela na chakula

Ili linazidi kuthibitisha bado tunaonekana vivuli...

Inauma sanaaa
 
Sasa hapo ubora wa mzungu ni upi kwa kutengeneza kifaa tunachotumia kiasi cha kuona mzungu ni kiumbe bora? au tunaaminishwa kuwa wazungu ni viumbe bora kwa sababu ya vifaa kama hivi?
Mnaaminishwa wewe na nani? Na ni nani huyo anayewaaminisha? Na huyo anayewaaminisha amewalazimisha muamini anavyotaka yeye?
 
Bado wazungu wana ubaguzi sana kwa waafrika. Kuna video nimeona YouTube ....

Watu walitaka kuthibitisha ubaguzi upo..
Wakawaweka vjana wawili (mmoja mzungu mmoja ni black {mwafrika}) maeneo mawili tofauti... Wakiwa na mabango "nina njaa naomba nisaidie" mwafrika hakupewa kitu ndani ya dakka tano ila yule mzungu dakika moja tu kapewa hela na chakula

Ili linazidi kuthibitisha bado tunaonekana vivuli...

Inauma sanaaa
Ubaguzi upo wa kila aina hivyo kila jamii kuna mambo ya ubaguzi,ila nashangaa kwanini dunia inapigia kelele sana huu ubaguzi tunaoita ubaguzi wa rangi? binafsi mbaguzi wa rangi namdharau hana tofauti na anayelalamika kubaguliwa kwa sababu ya rangi,wote ni kama wamepandikizwa kitu ambacho hakina uhalisia.
 
Mnaaminishwa wewe na nani? Na ni nani huyo anayewaaminisha? Na huyo anayewaaminisha amewalazimisha muamini anavyotaka yeye?
Ndiyo nimekuuliza hayo maswali wewe unayeona wazungu ni bora.Uniambie ubora wao ni upi au tunaaminishwa tu hivyo?
 
Back
Top Bottom