Nas Escobar? Duh ...Muuza madawa maarufu Nas Escobar anayekadiriwa alikua akiingiza dollar million 60 kwa siku hakuwahi kupost Picha ya pesa na aliamini kupost pesa Ni umaskini wa akili au Ni stress iliyopitiliza.
Muuza madawa maarufu Pablo Escobar anayekadiriwa alikua akiingiza dollar million 60 kwa siku hakuwahi kupost Picha ya pesa na aliamini kupost pesa Ni umaskini wa akili au Ni stress iliyopitiliza.
Chifu unamaanisha kusema kupost pesa? Maana kama unamaanisha kupost kwenye social media kama huyo bwana wake Zari, basi uturudishie chenji, maana Don Pablo aliishi kwenye ulimwengu ambao haukuwa na social media. Kafa mwaka 1993, kipindi ambacho hakukuwa na Facebook, Twitter, JF, Snapchat, Whatsapp n.k.na aliamini kupost pesa Ni umaskini wa akili au Ni stress iliyopitiliza.
si mzazi mwenzake kuna tatizo gani hapoPesa iko haswaa,
Mara kibao Zari anamfata inbox anaomba pesa ya matumizi yake binafsi, wapambe wa Ivan huwa wana-screenshot msg za Zari Mara anaomba USD 3000 ya shopping mara anaomba pesa ya kufanya business nk
Sidhani yaan amemzalia watoto bado unasema anachunwa?Kweli kabisa uliyoongea yaan mond anachunwa haswa na ivan na zari wanajua wanachofanya
Huyo simba lazima awe wako! JF hataree sijacheka tangu asb.Hivi ukipiga picha na pesa ni zako?Ok,mi naendaga Dar es salaam Zoo kupiga picha na Simba.
Kama ni kweli mchambuzi ndio maana mama Dai kama mzazi amenusa kitu. Muda utaongea wale wachumba wawili upo uwezekano wa kurudiana wakati huo kijana wetu akiwa hoi (siombei).Mkuu Ivan na wenzake ni waganga wa kienyeji wateja wengi wapo SA lakini wanakula vichwa world wide,
Anasemwa ni mganga aliyebobea zaidi kwenye kucheza na nyoka anapofanya kazi yake.
Ushawahi ona bakhresa anapiga picha na pesa? Na social media zipo na hats anamiliki media zake?Kupost wapi hizo picha?? 1980's kulikuwa na hizi social network??
Msema kweli ni futi 6
Wewe ulikuwa mchawiMsema kweli ni futi 6