Hili binafsi nakuunga mkono nilienda pale kwa ajili ya kupeleka barua yangu ya medical form kwa ajili ya ajira ,aiseeh! ilikuwa mikiki sana yani nikawa navutwa na huyu mara yule ili nitoe hela kwa jili ya kusaini form yangu nilivyosema nakiasi fulani,kila mtu akaanza kuniona adui ,mara kpange...
Namshkuru Sana ,Mungu KATIKA mkeka uliyotoka Jana na mim nimefanikiwa kulamba asali ,nikutoka Database,aiseeh ,tujitahidi kuomba Mungu na kuhudhuria usahili PSRS ,wakati wa Mungu ni sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.