Recent content by Girima

  1. G

    DOKEZO 'NIULIZE MIMI' ni chanzo cha rushwa Hospitali ya Mnazi - (Dar), mamlaka chukueni hatua

    Hili binafsi nakuunga mkono nilienda pale kwa ajili ya kupeleka barua yangu ya medical form kwa ajili ya ajira ,aiseeh! ilikuwa mikiki sana yani nikawa navutwa na huyu mara yule ili nitoe hela kwa jili ya kusaini form yangu nilivyosema nakiasi fulani,kila mtu akaanza kuniona adui ,mara kpange...
  2. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Siyo kweli hizo kazi ulizoona ni za mikataba as per project siyo permanent jobs Sent using Jamii Forums mobile app
  3. G

    Kuhama kada na taasisi

    MSHAHARA unaenda kufuata scale ya taasisi unayoenda kufanya kazi ( taasisi mpya) Sent using Jamii Forums mobile app
  4. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Namshkuru Sana ,Mungu KATIKA mkeka uliyotoka Jana na mim nimefanikiwa kulamba asali ,nikutoka Database,aiseeh ,tujitahidi kuomba Mungu na kuhudhuria usahili PSRS ,wakati wa Mungu ni sahihi.
  5. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ngoja tuendelee kuomba ,Mungu
  6. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nasikia ni afya tu ndo wamerambishwa asali kwa nafasi ambazo watu walikuwa hawajaripoti bado ,na zingine ambazo zilibaki kwa upànde wa afya
  7. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Web status,inasoma Shortlisted for oral interview
  8. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Selected for oral ,green
  9. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu! Kama umefanya Oral tu na haukufanya written,unawezà ukawa pia kwenye database Kama ulifaulu Oral?
  10. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera Sana , Mkuu! Kwa kulamba asali.
  11. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera Sana,kwenye Majukumu ya Utumishi,Mungu ni mwema
  12. G

    Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

    One ya point 14 ,ukaingia udsm form six ,ndo naiskia kwako[emoji854] Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom